el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,070
Kwa wale wafuatiliaji wa muziki wa zamani na muziki kwa ujumla basi hawawezi kuacha kulifahamu kundi hili lililozaliwa Ujerumani Magharibi lililokuwa tishio kabisa mwisho mwa miaka ya themanini na tisini mwanzoni...
Kundi hili liliteka spika za Radio na kumbi za starehe kwa kutoa vibao vikali kama kile maarufu zaidi cha "Girl you know ts true", waliendelea kuachia vibao vingine vikali kama "im gonna miss u na Blame it on the rain"
Kama wahenga walivyosema kuwa siku za mwizi ni 40, kumbe manager wa hili kundi "Frank Farian" aliwachukua waliokuwa wanaonekana waimbaji Rob na mwenzake Fab Pilatus na kuwaweka kama geresha tu kwenye video za nyimbo na jukwaani wakati hawakuwahi kuimba nyimbo hata moja..(sababu ya uwezo wao wa kucheza na muonekano mzuri)
Yaani ni sawasawa na leo uje kuambiwa eti Diamond hakuwahi kuimba nyimbo hata moja , nyimbo zake zote alizoimba kuna mtu alikuwa analipwa na Kina Babu tale aimbe then kwenye video , jukwaani, magazetini anatokea Diamond..
Issue nzima ilikuja kustukiwa Baada siku moja kwenye shoo, milli vanilli wakiwa wanaperfom wanazuga wanaimba wao kumbe wameweka playback, saa ngapi cd isigome!!... Ikaanza kurudiarudia kiasi cha kumfanya member mmoja wa kundi kutaka kukimbia jukwaani...
Baada ya kashfa hiyo, milli vanilli waliporwa tunzo yao ya grammy ambayo walishinda as the best new act, kwa aibu waliyoipata Rob na mwenzake Fab, iliwatesa kiasi cha kumfanya Rob aghubike kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya na hatimaye kujiua...
Kundi hili liliteka spika za Radio na kumbi za starehe kwa kutoa vibao vikali kama kile maarufu zaidi cha "Girl you know ts true", waliendelea kuachia vibao vingine vikali kama "im gonna miss u na Blame it on the rain"
Kama wahenga walivyosema kuwa siku za mwizi ni 40, kumbe manager wa hili kundi "Frank Farian" aliwachukua waliokuwa wanaonekana waimbaji Rob na mwenzake Fab Pilatus na kuwaweka kama geresha tu kwenye video za nyimbo na jukwaani wakati hawakuwahi kuimba nyimbo hata moja..(sababu ya uwezo wao wa kucheza na muonekano mzuri)
Yaani ni sawasawa na leo uje kuambiwa eti Diamond hakuwahi kuimba nyimbo hata moja , nyimbo zake zote alizoimba kuna mtu alikuwa analipwa na Kina Babu tale aimbe then kwenye video , jukwaani, magazetini anatokea Diamond..
Issue nzima ilikuja kustukiwa Baada siku moja kwenye shoo, milli vanilli wakiwa wanaperfom wanazuga wanaimba wao kumbe wameweka playback, saa ngapi cd isigome!!... Ikaanza kurudiarudia kiasi cha kumfanya member mmoja wa kundi kutaka kukimbia jukwaani...
Baada ya kashfa hiyo, milli vanilli waliporwa tunzo yao ya grammy ambayo walishinda as the best new act, kwa aibu waliyoipata Rob na mwenzake Fab, iliwatesa kiasi cha kumfanya Rob aghubike kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya na hatimaye kujiua...