Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 534
Hua nafikiria sana ni kivipi shirika la utangazaji la Kenya lilibuni hii program inayoitwa Vioja Mahakamani. Sio siri hua navunjika mbavu na kupata burudani kuangalia vituko vya hawa waigizaji haswa bwana Olexanda Josephat na Ondieki. ni burudani tosha mtu ukiwa na stress jaribu kupitia youtube na uwaangalie hawa jamaa. They are so fun.
Angalia kidogo hapa
https://www.youtube.com/watch?v=hPtPk-2juCQ
Angalia kidogo hapa
https://www.youtube.com/watch?v=hPtPk-2juCQ