Clouds fm haisikiki hewani Shinyanga kwa zaidi ya wiki sasa

Ng'wanambula

Senior Member
Oct 2, 2011
197
53
Kuna tatizo gani wadau maana naona Clouds fm Radio hapa Shinyanga haipatikani hewani kwa zaidi ya wiki sasa. KpKama kuna tatizo, litaisha lini?Uongozi una taarifa hizo? Au ndio imeanza kufilisika baada ya kuondokewa na watangazaji wake mahiri kama akina GERALD HANDO, PAUL JAMES na MILLARD AYO ambao inasemekana walikuwa wanatumia ubunifu binafsi kuiwezesha Radio hiyo kufanya vizuri.
 
Kuna tatizo gani wadau maana naona Clouds fm Radio hapa Shinyanga haipatikani hewani kwa zaidi ya wiki sasa. KpKama kuna tatizo, litaisha lini?Uongozi una taarifa hizo? Au ndio imeanza kufilisika baada ya kuondokewa na watangazaji wake mahiri kama akina GERALD HANDO, PAUL JAMES na MILLARD AYO ambao inasemekana walikuwa wanatumia ubunifu binafsi kuiwezesha Radio hiyo kufanya vizuri.
ife tu
 
Iliyohoji mashoga ni Clouds TV, nazungumzia Clouds fm Radio. Lakini zote ni kampuni moja ya CLOUDS MEDIA GROUP
 
Kuna shida ya muingiliano na kuibiana masafa lakini mamlaka zinazohusika zinafanya kila liwezekanalo kutatua hilo tatizo haraka sana na kuwafikisha watuhumiwa mbele ya sheria
Wamekuwa wakifanya kazi kwa shift mpaka usiku mwingi kutokana na unyeti wa jambo lenyewe
 
Kuna tetesi nimezipata hivi punde kuwa wameshindwa kulipa kodi, inasemekana walikuwa wakwepaji wazuri wa kodi ya serikali, sasa wamebanwa kulipia masafa
 
Naona Paul James (PJ) amewaagiza Wasukuma wenzake wa Gamboshi kumezuia masafa ya mahasimu wake
 
Back
Top Bottom