Tuo Tuo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 855
- 1,403
Nataka nitengeneze series Kali ya Kiintelligencia ya kibongo!! Iwe HD na yenye Technologia ya hali ya juu!!
Lakini nilitaka ushauri nifanyeje jinsi ya kuuza hyo series baada ya kuimaliza niweze pata faida kama series za nje nisiishie kupeleka kwa mhindi ikanikata!!
Ushauri juu ya wasanii!!
Je nichukue wasanii gani
Ray,Lulu,wema,hemedi ,Gabo,Kajala
Nataka wataofanya series iwe maarufu na jina kwa faida zaidi!!
Kwa ushauri wowote karibuni wadau
Lakini nilitaka ushauri nifanyeje jinsi ya kuuza hyo series baada ya kuimaliza niweze pata faida kama series za nje nisiishie kupeleka kwa mhindi ikanikata!!
Ushauri juu ya wasanii!!
Je nichukue wasanii gani
Ray,Lulu,wema,hemedi ,Gabo,Kajala
Nataka wataofanya series iwe maarufu na jina kwa faida zaidi!!
Kwa ushauri wowote karibuni wadau