kaitamarogo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 461
- 496
Fiesta inawaunganisha wasanii mbalimbali kwa mikoa mbalimbali.Japo redio inawapa promotion za kutosha hapa tz ila tatizo najiuliza wasanii wenyewe hawawezi kuwa na umoja wao wakaendasha matamasha na kupata pesa mpaka wasajiliwe na kusaini mkataba . Au ndo fursa ya boss!