Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,537
- 14,275
Nimesikiliza na kuangalia huu wimbo wa Kara Jeremiah ft Miriam chwira Binafsi nimeukubali wimbo umetulia unaitwa WANANDOTO, nimejaribu kuapload video yake ila nimeshindwa..... Upo you tube
Sasa, yuko vizuriNyimbo za Kala huwa ni nzuri na zina ujumbe.
Mi sijawahi na sidhani kama nitaenda maana huwa sio hobi yangu isipokuwa naangalia YouTube na kwenye Chanel ni wimbo mzuri sana sasa ni jukumu lao wao wasanii na serikali kuona wanaweza vipi kupata mapato kutoka huko kwenye social network ila kusema sasa kila shabiki awe na kopi na attend show sio sawa maana pia sidhani kama kwenda show au kununua ni huruma sasa au fundraising flani ili kumsaidia.Mafans mnaishia kumsifia kwamba ni mkali alafu mwenzenu anakufa njaa, wengi wenu kazi zake hamnunui, show zake hamuendi, Aaaaarrrggghh
Wataishia kufia batani kama nzi ndani ya glass ya biaMi sijawahi na sidhani kama nitaenda maana huwa sio hobi yangu isipokuwa naangalia YouTube na kwenye Chanel ni wimbo mzuri sana sasa ni jukumu lao wao wasanii na serikali kuona wanaweza vipi kupata mapato kutoka huko kwenye social network ila kusema sasa kila shabiki awe na kopi na attend show sio sawa maana pia sidhani kama kwenda show au kununua ni huruma sasa au fundraising flani ili kumsaidia.