sajumo
JF-Expert Member
- Nov 20, 2013
- 1,834
- 1,059
Kuna vipindi vya huyu Dada in short huwa sisikilizi ila hapa uswahilini kuna mama ana redio yake anafungulia. Ananikera kumwambia nashindwa maana mada anazozungumzia ni zaidi ya pumba, ni umbea kelele za kishambenga na kupromoti ushoga nashindwa kuelewa TCRA wapo wapi maana kipindi kinazidi kupotea na kupoteza vipofu.
Nawasilisha
Nawasilisha