Star wa bongo flava Alikiba anayefanya vizuri na ngoma yake ya `aje' ,imetangazwa kuwa number [HASHTAG]#1kwenye[/HASHTAG] playlist ya streaming app iitwayo Deezer's Africa rising playlist ambayo makao makuu yake ni nchini France Paris na imeenea zaidi ya nchi 180 duniani.Tembelea www.deezer.com