IrDA
JF-Expert Member
- Aug 26, 2010
- 745
- 361
Habari wakuu,
Nimesikia leo huu wimbo wa bongo fleva, una maneno haya
"Tumetoka mbali sana baby, usisikilize maneno..."
"Tumetoka mbali sana baby, usisikilize maneno..."
"Na-na-na naaa.....na na-na-naaaa"
Kwa anayejua jina la wimbo au msanii aliyeuimba, naomba anisaidie.
Nimesikia leo huu wimbo wa bongo fleva, una maneno haya
"Tumetoka mbali sana baby, usisikilize maneno..."
"Tumetoka mbali sana baby, usisikilize maneno..."
"Na-na-na naaa.....na na-na-naaaa"
Kwa anayejua jina la wimbo au msanii aliyeuimba, naomba anisaidie.