Maisha plus 2016 final

Maisha plus 2016 final

kidaganda

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
2,997
Reaction score
2,577
-,waziri Mwijage azindua mashine ya kusaga iliyotengenezwa na washiriki wa maisha plus
-Pia amempa mshiri toka Mtwara mashine ya kubangua korosho..
--Final rasmi itaanza saa 3 usiku Azam tv
 
washiriki wanaelezea experience ya juu ya maisha plus.
 
Huyu masoud yaani kila kitu yeye tu hata u-mc hataki kumpa mtu mwingine yeye ndio jaji mc duh
 
Wamebaki wawili ngoja tuone kama hela inabaki tz au inaenda kenya
 
Mshindi wa maisha plus 2016 ni Olive toka Kenya
 
4ba879aa5484c51ee984d3b904ca700b.jpg


Mshindi ndio huyu Olive toka Kenya
 
Bendera za Kenya zinapepea hongera Olive
 
Back
Top Bottom