Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,937
Huu Ndio Usajili Wa Fiesta
Ila Bado Unaendelea
Ila Bado Unaendelea
Wameanzisha wapi huo mradi mkuuJay Z anakuja kucheki na mradi wa maji waliozindua na mkewe au siyo
Wameanzisha wapi huo mradi mkuu
Ni kweli alizindua mradi wa maji ila sidhani kama ule mradi ulikuwa wake nadhani yeye alizindua tu, uko pwani huo mradi nahisi ni mkurangaWameanzisha wapi huo mradi mkuu
Huu Ndio Usajili Wa Fiesta
Ila Bado Unaendelea View attachment 425759View attachment 425760View attachment 425761
Sio unasikia hebu niangalie hiyo picha ya jay Z imeeditiwaIyo ya jay z imekanushwa nasikia ni uongo eti