RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,510
- 135,559
Naona music videos nyingi za wasanii wetu zinatengenezwa SA, ndio kusema directors wetu hapa hawana viwango au location za huko ndio zinawavutia?! Tena hata video quenns wengine wanatumia wazungu weusi hawafai au?
Anyway kuna videos nyingine za hapa hapa zinakuwa nzuri kuliko za huko S.A unahitaji ubunifu tu. Video hii ya Darasa naamini imetengenezwa TZ na mizigo iliojaaliwa ya kibongo na sio mbaya
Anyway kuna videos nyingine za hapa hapa zinakuwa nzuri kuliko za huko S.A unahitaji ubunifu tu. Video hii ya Darasa naamini imetengenezwa TZ na mizigo iliojaaliwa ya kibongo na sio mbaya