Msanii chipukizi katika Tasnia ya Uigizaji

Msanii chipukizi katika Tasnia ya Uigizaji

Shmaider

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2015
Posts
406
Reaction score
120
Napenda kuwaomba ushaur wanajamiii mimi nimuigizaji mchanga toka mkoani Tabora tunaomba ushauri nini tuzingatie ilisikumoja nasi ndoto zetu zitimie
 
Nahitaji nitambulike ndani na nje ya taifa langu,ukweli kitu hii ipo kwenye damu
 
Sina mana hyo bado nipo tabora lakini lengo langu nikupewa mawazo nasiyo kunikatisha tamaa au kunikejel
 
Bongo movie imebak story tu....angalia sehem nyingn ya kutokea
 
Sina mana nahitaji kujiunga na bongo movie nahitaji kutoka kivyangu
 
Cha kwanza ni kumtanguliza Mungu kwenye kila unachofanya kama unamwamini lakin, zaid ni kupenda na kuthamini kile unachokifanya, zingatia kuwa na vyanzo vingine vya kukuweka mjini ukitegemea uigizaji pekee, utaishia kupigania kiki tu ila kama una mishe zako, hutakuwa na panic za hovyo wala kukurupuka kwenye kazi zako.
NB: Vijana wengi wakishaanza kuonekana kwenye kioo huwa wanatia nyodo sana, epuka sana kumdharau mtu, huwezijua ni nani na ana influenc gani kweny industry
Hence Goodluck!
 
Cha kwanza ni kumtanguliza Mungu kwenye kila unachofanya kama unamwamini lakin, zaid ni kupenda na kuthamini kile unachokifanya, zingatia kuwa na vyanzo vingine vya kukuweka mjini ukitegemea uigizaji pekee, utaishia kupigania kiki tu ila kama una mishe zako, hutakuwa na panic za hovyo wala kukurupuka kwenye kazi zako.
NB: Vijana wengi wakishaanza kuonekana kwenye kioo huwa wanatia nyodo sana, epuka sana kumdharau mtu, huwezijua ni nani na ana influenc gani kweny industry
Hence Goodluck!
Asante sana ushauri wako umenigusa naahidi kuufanyia kazi pia kuwaelimisha wenzangu wenye ndoto kama yangu
 
Pongezi kwako mawazo kama hayo ndiyo nilikuwa nayategemea siyo kukatishwa tamaaa@G MAN
 
Back
Top Bottom