Mkuu nilibaatika kupita kariakoo na Arusha madukani kila duka Darasa, aisee unapigwa adi utatoa machoziDarasa sasa kapata mtihani wa maisha yake
anatakiwa aweze ku maintain hiyo level
atoe nyimbo quality hiyo hiyo ttena na tena
kazi kwake
Mkuu darasa kaua mwenzio daimondi anakwambia ujanja mwingiwatu wengine wanafki sana
huu mwaka diamond kafanya makubwa sanaaa sanaaa
chagua wowote halafu pima kimafanikio ya huo wimboMkuu darasa kaua mwenzio daimondi anakwambia ujanja mwingi
Sasa Darasa ni mziki siyo ujanja ujanja
Any way wimbo gani wa Daimondi unaushindanisha na huu mpya wa Darasa?
Na hii ndo kazin ngumu kuliko zote kwa maisha ya msani...kwa gharama yeyote ile lazima ajitahidi nyimbo itakayofatia hii iwe kali zaidi kuliko MUZIKI.Darasa sasa kapata mtihani wa maisha yake
anatakiwa aweze ku maintain hiyo level
atoe nyimbo quality hiyo hiyo ttena na tena
kazi kwake