jaribu kuplay hata moja ya youtube uone,haziplay instead inakupa link na nikienda kwenye link nakua directed more and more mwisho wa siku sioni cha maana na zingine ni trailers tu.Are serious kuwa hujaipats?, mi baada ya kusoma hili bandiko lako nmeenda YOUTUBE nimezikuta ya I mpaka ya III.
Kama unatumia simu install vidmate then itumie hyo kudownload
Are serious kuwa hujaipats?, mi baada ya kusoma hili bandiko lako nmeenda YOUTUBE nimezikuta ya I mpaka ya III.
Kama unatumia simu install vidmate then itumie hyo kudownload
Zinacheza vizur tu yaan nmeplay dakika moja iliyopita baada ya kuona andiko lako,...unatumia simu au komputa?. Mi natumia simu na nmeinstall vidmate huwa nadownload movie nayotaka then naihamishia kwenye naangalia kwa kutumia deki vizur tu.jaribu kuplay hata moja ya youtube uone,haziplay instead inakupa link na nikienda kwenye link nakua directed more and more mwisho wa siku sioni cha maana na zingine ni trailers tu.
em screenshot hiyo ambayo inaplay niidownload,natumia pc so ntadownload direct tu from youtubeZinacheza vizur tu yaan nmeplay dakika moja iliyopita baada ya kuona andiko lako,...unatumia simu au komputa?. Mi natumia simu na nmeinstall vidmate huwa nadownload movie nayotaka then naihamishia kwenye naangalia kwa kutumia deki vizur tu.
Hzo zimekufaa sasa?oow haya sante,me nilkua na search ile ya full movie guess ndo mana nlipata shida kidogo