cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,805
Kuna mwanamziki wa kitambo mwanzo mwa miaka ya 2000's alisumbua sana na kibao chake Bila sana jina lake Imam Abas ic nakumbuka sana mizuka ile katika game hili la sasa jamaa alikua so far gone yani mziki wake kwa sasa ndio ungekua level za juu sana
atakua wapi?,nashauri kama ataapata waya huu arudi kwenye game Hiphop inamapengo sana aje ayazibe mwombozi wa Mitaa ya kazi
atakua wapi?,nashauri kama ataapata waya huu arudi kwenye game Hiphop inamapengo sana aje ayazibe mwombozi wa Mitaa ya kazi