Mods futa huu uzi. Umepostiwa kimakosa., Kila nikiitafuta icon ya ku delete uzi hua siioni., Bebeni hili jukumu wenyewe...!!
Wabongo naomba msi nijudge pulzi....!!
Kwa wale wapenzi wa riwaya karibuni sana. Nikiwa mdau wa mambo hizi nimeona nishee moja ya riwaya amabayo nimeikuta mahali lakini sijaitunga mimi jamani niwe mkweli. Nimeona si vibaya tuka share...
Nimeipa heshima Tanzania - Richard
2007-11-13 09:33:15
By Fred Ogot, Johannesburg
Richard Bizubenhout ameeleza anafurahia kuipa heshima Tanzania katika medani ya kimataifa baada ya...
Omary Mkali na OM Jazz
OM Jazz 9 instrumental . One of the best true jazz group in Dar-es-Salaam, Tanzania
This is an official channel by Omary Mkali the artist and producer, owner of The OM...
KILIO CHA VALENTINE
(Aibu Kusimulia)
‘’Ni aibu kufikiria, itakuwa kusimulia?’’ Sauti ya Latifa ilisikika kupitia simu, ni dhahili alikuwa akilia.
‘’Pole sana ndugu yangu lakini aibu hadi simuni...
Heshima yenu wakuu
kwa wale wapenzi wa cartoon za animation tukutane hapa kujulishana ni cartoon gani nzuri kuangalia na mpya ni zip zilizo toka
ila mm binafsi nakubali sana hizi cartoon...
Aiseee ndo nipo naichek hii movie hapa......
Yan ni tatizo!!!!!!!!!Nimeshika remote,basi hapa home wanatamani wanipige.maana kila muda nurudisha nyuma kuangalia tena balaa analofanya!!!!!
Ndo...
Tembelea YouTube channel yetu kwaajili ya mafunzo ya Color correction na Color grading kwa kiswahili na kwa njia rahisi kabisa
Fungua App ya YouTube.
Search Creator pro5
Hello guys hivi karibuni nitaanza kutoa masomo yahusuyo color correction n color grading kwa watu wanao jihusisha na mambo ya video production n graphics design
kuna wimbo unaitwa kitu na box wa abdul misaambano na ule wa issa matona anaimba nilidhani mimi chanda na wewe pete yangu...
Naombeni mnisaidie tafadhali manake nimezitafuta muda mrefu sijazipata
Wakuu kwa mimi hawa ndio wabaya wa chorus bongo kuanzia wa kwanza mpaka wa 5
1. Sir Nature - msitu wa vina
2. Belle 9
3. Chege Chigunda
4. TID
5. Q Chilla/ Q Chief