Nn tena bwana mkubwa. Eidy njemaNonsense
Kiaje Kaka. Wengi tumekimbia jukwaa la siasa lile ndiyo stress tupu. Unasikia wenzako wamepiga bilioni.Kuna watu sasa watajawa na stress wiki nzima. Kuishi na wabongo shughuli, chuki nje nje
Anatutafutia msiba huyu!usimsifie Dai hadharani oh.Kuna watu sasa watajawa na stress wiki nzima. Kuishi na wabongo shughuli, chuki nje nje
Nyimbo ya Diamond au patoranking?Diamond hongera sana. Kijana unajua safi sana. Hii nyimbo inakuwa ya Africa.
Nashindwa Kuiweka hapa kwa mtakaweza nendeni kwenye bio ya patoraking & diamond muilete hapa wadau wa mziki mzuri waione.
Love you die; level zako kubwa
Hahaaah sahivi naona mnaweweseka...mshachezea za usi mnaanza kuzuga...Ali alichowafanya hamtakuja kusahauDaaaah huu wimbo nyooooooko.
Team kibakuli wakiongozwa na Mange Kimavi watasubiri sana.
Iwekeni basi hapa tuioneAmeitendea haki.
Angekuwa mwingine asingeweza Ku fit vile.
Mondi the baddest, untouchable, prezidaaa unshakable the rock
Taarifa mbaya kwako...Wack song...Nigerian sound hakuna jipya..alafu huyu Pantoranking anafanya makusudi hata ngoma ya Navy Kenzo...daini chenu