Wanamuziki wa Tanzania hapa mnafeli

Niccolo Machiavelli

JF-Expert Member
Feb 7, 2017
1,881
3,636
Nakumbuka kipindi cha nyuma Kenya walikua wakituongoza kimuziki katika ukanda wa East Africa.Kwa bahati nzuri baada ya revolution kufanywa na vijana wa Bongo Fleva Tz tumefanikiwa kuongoza East Africa hadi mpaka sasa wasanii wa Bongo ndo wanakamatia fursa kwenye Top 10 za Kenya mpaka hadi sasa wasanii Kenya wanakimbilia collabo na wabongo hadi mpaka kuja kufanya production Bongo.Cha kusikitisha kuna baadhi ya Wasanii wetu wanaiga sasa wa Nigeria mpaka kufanya mziki wetu upoteze identity...Nimeshangazwa na Madee kwenye nyimbo yake mpya na pia Diamond Platnumz kwenye Eneka.Jamani tatizo nini,East Africa was already dancing to our tune,& for us we're after these Nigerians mpaka tunaanza kupoteza identity yetu.Tukiendelea hiv....kwakweli in the next 5 years Bongo Fleva kutakua hakuna tena.Tutakua wa Nigeria sasa.So,sad ni kwamba hata huko Nigeria sijaona yeyote anaenda kupiga show.Its a shame.Tubadilike!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kipindi cha nyuma Kenya walikua wakituongoza kimuziki katika ukanda wa East Africa.Kwa bahati nzuri baada ya revolution kufanywa na vijana wa Bongo Fleva Tz tumefanikiwa kuongoza East Africa hadi mpaka sasa wasanii wa Bongo ndo wanakamatia fursa kwenye Top 10 za Kenya mpaka hadi sasa wasanii Kenya wanakimbilia collabo na wabongo hadi mpaka kuja kufanya production Bongo.Cha kusikitisha kuna baadhi ya Wasanii wetu wanaiga sasa wa Nigeria mpaka kufanya mziki wetu upoteze identity...Nimeshangazwa na Madee kwenye nyimbo yake mpya na pia Diamond Platnumz kwenye Eneka.Jamani tatizo nini,East Africa was already dancing to our tune,& for us we're after these Nigerians mpaka tunaanza kupoteza identity yetu.Tukiendelea hiv....kwakweli in the next 5 years Bongo Fleva kutakua hakuna tena.Tutakua wa Nigeria sasa.So,sad ni kwamba hata huko Nigeria sijaona yeyote anaenda kupiga show.Its a shame.Tubadilike!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio Wanigeria tu, tetesi nilizonazo sasa hata mziki wa Kijapani unaibwa na kuwekwa maneno ya Swainglishi na kutolewa katika redio na TV zetu kana kwamba ni orijino material. Na sisi kama mazuzu tunashangilia na kupongezana kwa wizi huu.
 
Sio Wanigeria tu, tetesi nilizonazo sasa hata mziki wa Kijapani unaibwa na kuwekwa maneno ya Swainglishi na kutolewa katika redio na TV zetu kana kwamba ni orijino material. Na sisi kama mazuzu tunashangilia na kupongezana kwa wizi huu.
Atakuwa kiba huyo
 
Una point mahala...

Ila sio kivile..

Wasanii tulionao tz wanao colabo na kuwakopi wa nigeria sio threat kabisa mziki wetu kupotea kenya..
 
Nakumbuka kipindi cha nyuma Kenya walikua wakituongoza kimuziki katika ukanda wa East Africa.Kwa bahati nzuri baada ya revolution kufanywa na vijana wa Bongo Fleva Tz tumefanikiwa kuongoza East Africa hadi mpaka sasa wasanii wa Bongo ndo wanakamatia fursa kwenye Top 10 za Kenya mpaka hadi sasa wasanii Kenya wanakimbilia collabo na wabongo hadi mpaka kuja kufanya production Bongo.Cha kusikitisha kuna baadhi ya Wasanii wetu wanaiga sasa wa Nigeria mpaka kufanya mziki wetu upoteze identity...Nimeshangazwa na Madee kwenye nyimbo yake mpya na pia Diamond Platnumz kwenye Eneka.Jamani tatizo nini,East Africa was already dancing to our tune,& for us we're after these Nigerians mpaka tunaanza kupoteza identity yetu.Tukiendelea hiv....kwakweli in the next 5 years Bongo Fleva kutakua hakuna tena.Tutakua wa Nigeria sasa.So,sad ni kwamba hata huko Nigeria sijaona yeyote anaenda kupiga show.Its a shame.Tubadilike!

Sent using Jamii Forums mobile app
Seduce me ndio kiboko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwamba daimond anatoa music anafocus soko, sasa bongofleva lovers akawapa "i miss you" na wakimataifa kwapa "eneka" kwanza utambue kuwa yule ni wa kimataifa na huko Nigeria ana mashabiki, mtoa mada ninakushauri tu weka kwenye playlist yako ngoma kama i miss you, ukimwona, mbagala, kamwambie, je utanipenda, ntampata wapi nahisi hizo bongofleva alizofanya zinakutosha, na sisi tunazipenda ngoma kama my number one, eneka, fire. Ni vigumu kumridhisha kila mtu ila nakushauri tu ingia kwenye utube acc yake kisha angalia ngoma zinazompa ugali mzuri kisha uje umshauri upya.
 
Ni kwamba daimond anatoa music anafocus soko, sasa bongofleva lovers akawapa "i miss you" na wakimataifa kwapa "eneka" kwanza utambue kuwa yule ni wa kimataifa na huko Nigeria ana mashabiki, mtoa mada ninakushauri tu weka kwenye playlist yako ngoma kama i miss you, ukimwona, mbagala, kamwambie, je utanipenda, ntampata wapi nahisi hizo bongofleva alizofanya zinakutosha, na sisi tunazipenda ngoma kama my number one, eneka, fire. Ni vigumu kumridhisha kila mtu ila nakushauri tu ingia kwenye utube acc yake kisha angalia ngoma zinazompa ugali mzuri kisha uje umshauri upya.
Hahahaha! Kwenye ubora
 
Nakumbuka kipindi cha nyuma Kenya walikua wakituongoza kimuziki katika ukanda wa East Africa.Kwa bahati nzuri baada ya revolution kufanywa na vijana wa Bongo Fleva Tz tumefanikiwa kuongoza East Africa hadi mpaka sasa wasanii wa Bongo ndo wanakamatia fursa kwenye Top 10 za Kenya mpaka hadi sasa wasanii Kenya wanakimbilia collabo na wabongo hadi mpaka kuja kufanya production Bongo.Cha kusikitisha kuna baadhi ya Wasanii wetu wanaiga sasa wa Nigeria mpaka kufanya mziki wetu upoteze identity...Nimeshangazwa na Madee kwenye nyimbo yake mpya na pia Diamond Platnumz kwenye Eneka.Jamani tatizo nini,East Africa was already dancing to our tune,& for us we're after these Nigerians mpaka tunaanza kupoteza identity yetu.Tukiendelea hiv....kwakweli in the next 5 years Bongo Fleva kutakua hakuna tena.Tutakua wa Nigeria sasa.So,sad ni kwamba hata huko Nigeria sijaona yeyote anaenda kupiga show.Its a shame.Tubadilike!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaur mzur sana
Lakn uzi bila picha kidogo hauvutii wasomaji
 
Back
Top Bottom