Nimekuwa nikifuatilia Big Brother Africa kwa muda sasa lakini nilichokuja kugundua ni kuwa hili ni shindano moja chafu sana. Halipendezi kuingiwa na mtanzania.
Haya ni mawazo yangu binafsi...
Hii ni aina ya movie ninazozipenda.. Na hii ni movie bora saana kwangu..
So kama kuna mdau yeyote anaezifahamu movie za aina hii, naomba anidondoshee hapa ili nizichek..........
Bila ya kupoteza muda, hili song la Horace Brown limebeba ujumbe mahususi kwa vijana wa kisasa. Sisi wahenga nadhani tunakaa mbali na kutizama Ujana maji ya moto.
One for the money ("one, one...
Habari waungwana!
Nianze kwa kuwapongeza sana watunzi wa riwaya kwa kazi zao nzuri ambazo huelimisha,huonya,huhamasisha na kuburudisha jamii.Binafsi ni mpenzi wa riwaya hivyo nafurahi sana...
Sekta ya filamu imeendelea kukua kila kukicha nchini Tanzania,ambapo sasa filamu zinazotengenezwa nchini humo zinavuka anga ya kimataifa na kuonyeshwa sehemu nyingine duniani.
T Junction ni...
Kwa wapenzi wa animation film, fanya kuidownload hiyo movie imetulia si mchezo.
2017
Quality: 720p / 1080p
Language: English
Genre: Action , Adventure ...
Guys,
Naomba mnipendekezee jina zuri la band ya Muziki ambayo itakuwa ikitumbuiza kwenye 5 Star Hotels tu. Wanabendi ni wazungu na waafrika wa mataifa ya nje na wabongo kidogo...mimi nikiwa...
1. wapenzi wengi wamekosa umahiri, umahiri wa kutunza siri,
lakini wewe u mzuri, umenitunzia siri,
nimekukosea mengi lakini umeyafanya mazuri,
u mzuri wewe uliye msiri.
2...
Luis Fonsi na Daddy Yankee wimbo wao wa Despacito umeweka record ya kuwa wimbo wa kwanza kutazamwa zaidi Youtube kwa kupata viewer billion 3 (duniani makadirio tupo billioni 7).
Kwa kupitia...
Habari,
kama wewe ni masanii wa music wa aina yoyoye na unataka kufanya video nzuri kwa gharama ndogo kabisa ya sawa na Bure au bure kabisa wahi ofa hii kutoka kampuni ya Moo Entertainment...
Habar zenu wakubwa
Kama title inavyo jieleza nilikua naomba msaada kwa mwenye kujua program jina na jinsi ya kuipata program inayo tumika kitengenezea extended songs.
Ni hilo tu
Msaada please
Hakika nimekuwa shabiki wa hili kundi la muziki wanajiita WEUSI ila hapo kwenye huu wimbo wenu mpya nimegundua mna safari ndefu kuwafikia wanamuziki wenye majina duniani kwakuwa sio wabunifu nyie...
Kwa mtazamo wangu huyu jamaa alichangia kwa kiasi kikubwa ktk fani ya bongo fleva. Bahati mbaya haongelewi sana pamoja na kuwatengenezea 'mental' wasanii wengi wa mwanzo mwanzo wa muziki huu kabla...
Wakuu nimejibebisha kwa wife siku nzima na beach out 2day bt nimejaribu kumuomba tutoke uck kuangalia game kaniambia sna kizunguzungu hatuwez kutoka wala cwez kwenda PLz nipeni app nitakazoona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.