Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimekuwa nikifuatilia Big Brother Africa kwa muda sasa lakini nilichokuja kugundua ni kuwa hili ni shindano moja chafu sana. Halipendezi kuingiwa na mtanzania. Haya ni mawazo yangu binafsi...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Hii ni aina ya movie ninazozipenda.. Na hii ni movie bora saana kwangu.. So kama kuna mdau yeyote anaezifahamu movie za aina hii, naomba anidondoshee hapa ili nizichek..........
5 Reactions
23 Replies
4K Views
Bila ya kupoteza muda, hili song la Horace Brown limebeba ujumbe mahususi kwa vijana wa kisasa. Sisi wahenga nadhani tunakaa mbali na kutizama Ujana maji ya moto. One for the money ("one, one...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari waungwana! Nianze kwa kuwapongeza sana watunzi wa riwaya kwa kazi zao nzuri ambazo huelimisha,huonya,huhamasisha na kuburudisha jamii.Binafsi ni mpenzi wa riwaya hivyo nafurahi sana...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Sekta ya filamu imeendelea kukua kila kukicha nchini Tanzania,ambapo sasa filamu zinazotengenezwa nchini humo zinavuka anga ya kimataifa na kuonyeshwa sehemu nyingine duniani. T Junction ni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wapenzi wa animation film, fanya kuidownload hiyo movie imetulia si mchezo. 2017 Quality: 720p / 1080p Language: English Genre: Action , Adventure ...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi kuna wadau wanaifatilia hii tamthiliya nzuri ya kihindi ya Beintehaa? Kiukweli mie naipenda naomba kama kuna watu wanaifatilia tupeane upadate.
0 Reactions
37 Replies
10K Views
La isla bonita guitar
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Guys, Naomba mnipendekezee jina zuri la band ya Muziki ambayo itakuwa ikitumbuiza kwenye 5 Star Hotels tu. Wanabendi ni wazungu na waafrika wa mataifa ya nje na wabongo kidogo...mimi nikiwa...
1 Reactions
48 Replies
6K Views
1. wapenzi wengi wamekosa umahiri, umahiri wa kutunza siri, lakini wewe u mzuri, umenitunzia siri, nimekukosea mengi lakini umeyafanya mazuri, u mzuri wewe uliye msiri. 2...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Tusaidiane jamani Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu naomba uo msaada ndugu zangu niweze kupakua huu mzigo nitashukuru sana
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Luis Fonsi na Daddy Yankee wimbo wao wa Despacito umeweka record ya kuwa wimbo wa kwanza kutazamwa zaidi Youtube kwa kupata viewer billion 3 (duniani makadirio tupo billioni 7). Kwa kupitia...
2 Reactions
58 Replies
16K Views
Sikiliza Kisha Nipe Maoni Yako!!!
0 Reactions
1 Replies
774 Views
Ni Website gani Nzuri kudownload Movies..?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari, kama wewe ni masanii wa music wa aina yoyoye na unataka kufanya video nzuri kwa gharama ndogo kabisa ya sawa na Bure au bure kabisa wahi ofa hii kutoka kampuni ya Moo Entertainment...
0 Reactions
0 Replies
600 Views
Habar zenu wakubwa Kama title inavyo jieleza nilikua naomba msaada kwa mwenye kujua program jina na jinsi ya kuipata program inayo tumika kitengenezea extended songs. Ni hilo tu Msaada please
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Hakika nimekuwa shabiki wa hili kundi la muziki wanajiita WEUSI ila hapo kwenye huu wimbo wenu mpya nimegundua mna safari ndefu kuwafikia wanamuziki wenye majina duniani kwakuwa sio wabunifu nyie...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wangu huyu jamaa alichangia kwa kiasi kikubwa ktk fani ya bongo fleva. Bahati mbaya haongelewi sana pamoja na kuwatengenezea 'mental' wasanii wengi wa mwanzo mwanzo wa muziki huu kabla...
3 Reactions
24 Replies
9K Views
Wakuu nimejibebisha kwa wife siku nzima na beach out 2day bt nimejaribu kumuomba tutoke uck kuangalia game kaniambia sna kizunguzungu hatuwez kutoka wala cwez kwenda PLz nipeni app nitakazoona...
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Back
Top Bottom