radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Hunijali kwa chumvi (hunijali kwa sukari taabu nyingi ninapata na watotoooo). Napata shida na watoto
Hunijali kwa mavazi hunijali kwa chochote aaaa aaa napata shida
Unataka kuoa mke wapili ni zilipendwa wimbo mkali sana jaman nakumbuka nyumbani mbeya huwa nikiusikia msaada mama yangu alikuwa akiupenda sana miaka ya 92/93
Hunijali kwa mavazi hunijali kwa chochote aaaa aaa napata shida
Unataka kuoa mke wapili ni zilipendwa wimbo mkali sana jaman nakumbuka nyumbani mbeya huwa nikiusikia msaada mama yangu alikuwa akiupenda sana miaka ya 92/93