ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,970
- 2,184
Kiukweli kwa sasa mayoung wanaotamba mjini wamebaki wawili tu kwa hii game ya hiphop, hapo awali dogo janja alijumuishwa pia lakini kwa sasa ametupwa nje na hawa madogo wanaotamba
Young dee anadude lake linakwenda kwa bongo bahati, hii imepelekea kuibuka kwa msemo hapa mjini "Bongo bahati mbaya" (BBM)
Huku kwa young killa ametoka na hitsong zake kama nne hivi zote zikiisha na msemo unashika jiji sasa "Pambana na hali yako"
Msemo upi unakimbiza saana mjini, maana msemo wako ukibamba sana ni ishara tosha ngoma yako imepenya kwa washabiki wa muziki kitu ambacho ni ngumu sana kwa sasa
Bongo bahati mbaya vs pambana na hali yako!
Kwangu naupenda sana huu, "pambana na hali yako"
Young dee anadude lake linakwenda kwa bongo bahati, hii imepelekea kuibuka kwa msemo hapa mjini "Bongo bahati mbaya" (BBM)
Huku kwa young killa ametoka na hitsong zake kama nne hivi zote zikiisha na msemo unashika jiji sasa "Pambana na hali yako"
Msemo upi unakimbiza saana mjini, maana msemo wako ukibamba sana ni ishara tosha ngoma yako imepenya kwa washabiki wa muziki kitu ambacho ni ngumu sana kwa sasa
Bongo bahati mbaya vs pambana na hali yako!
Kwangu naupenda sana huu, "pambana na hali yako"