Hahaha! Ni kweli kabisacha muhimu Alikiba kama anategemea mziki pekee inabidi awaombe msamaha hawa jamaa la sivyo career yake inakufa hivihivi
Hehehe! Nani tena huyo.Ahsante WCB, kuna mpuuzi mmoja katuchafua masikioni na machoni na uchafu wake jana.
ile nyimbo mbaya kama kwaya vileWCB bana kiba akiachia ngoma lazima na wao waachie sijui ndio nini