Msimu wa Fiesta 2017.

Msimu wa Fiesta 2017.

Godwishes

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2011
Posts
640
Reaction score
167
Kwanza nampongeza aliyefikiria wazo ili la kukutanisha wasanii wote kuzunguka mikoani na kutoa burudani.
Ni uzalendo.Hawa wanao jitenga aidha ktk kujiona kuwa wao ni masitaa au wanataka dau kubwa ni wasaliti.
Ningesapoti kazi zao tuzipige chini hata kama nzuri namna gani.
Pili,nampongeza mratibu wao kwa wazo la fursa kabla ya burudani.Inatia vijana matumaini ktk mazingira ya kupambana na hali yako Unaweza kupata wazo la plan B.
Nifikiri isiishie kwenye bongo flavour iende mbali hata kwa wasanii wa maingizo na gospel.
Jumamosi Njema
 
kwani fiesta ni mpya nanii mbn kitambo ipogo
 
Msitake kupangia watu kila msanii ana ratiba na taratibu zake.
 
Kama umeona hiyo ni fursa mkuu ianzishe wewe uchukue waigizaji na wasanii wa gospel..utapiga pesa
 
Back
Top Bottom