Hunijali kwa chumvi (hunijali kwa sukari taabu nyingi ninapata na watotoooo). Napata shida na watoto
Hunijali kwa mavazi hunijali kwa chochote aaaa aaa napata shida
Unataka kuoa mke wapili ni...
Zamani kidogo kipaji cha kurap ulikuwa ni uhuni ila kadri muda unavyoenda dhana hii inatokomea,
Vijana wanafanya mambo mazito na vipaji vyao ogopa mtu wa elimu yake sisemi wasio na elimu wanafanya...
Sijaelewa kinachoendelea kwa fuvu la binadamu kukutwa uwanja wa taifa wakati nyasi za bandia zikitolewa na kuwekewa nyasi asili
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanahiphop maarufu nchini Tanzania, Roma na Stamina wanaounda kundi la ROSTAM. Ikiwa na maana ROma na STAMina, mapema leo waliuLIzwa na Perfect crispin kupitia 255 ya XXL inayorushwa na kituo cha...
mambo vipi wakuu
embu leo kwenye huu uzi tujuzane kidogo kuhusu hili shindano
mwaka huu lipo??
na je kwa tanzania wameshaanza usahili?
na ni vigezo vipi unatakiwa uwe navyo ili uweze kufanya...
Msanii Selementally ambaye ameachia kazi yake mpya inayoitwa 'Nataka kununua Dar' aliyomshirikisha msanii Belle 9, amesema anakusudia kulinunua jiji la Dar es Salaam ili arekebisha baadhi ya vitu...
" Hallelujah" Kijana wa tandale kaleta nyingine akiwa na Morgan Heritage chini ya director Moe Mussa. Kamaliza au kazingua?
Diamond Platnumz "Hallelujah" (ft Morgan Heritage)
Verse 1 - Diamond...
Nimeusikiliza huu wimbo clouds sasa hivi, sijaona hata mstari mmoja Wa maana nnaoweza kuuweka kichwani, una flow tongue twister, unang'ata maneno!+ quote za kimombo!, rudi enzi za MWANZA MWANZA...
Kiukweli kwa sasa mayoung wanaotamba mjini wamebaki wawili tu kwa hii game ya hiphop, hapo awali dogo janja alijumuishwa pia lakini kwa sasa ametupwa nje na hawa madogo wanaotamba
Young dee...
Habari zenu wana jf
Kama kichwa hapo juu kinavyosema kutokana na kauli ya rais jpm
NANUKUU "Kama kuna vyama vingine navyo vinataka kuja kufanyia mikutano yao hapa (Ikulu) waombe, hapa ni pa...
Wakuu habari!
Binafsi sio mpenzi wa hizi zinazoitwa singeli, ziite mnanda ukitaka au ukipendezwa ita mchiriku au muziki wa hovyo, yaani wewe tu.
Ila Sasa Kuna hii ngoma ya Mataluma inayoitwa...
'Hallelujah" Ni wimbo mpyaa kutoka kwa Diamond platnumz, wimbo huu umekuja kuvunja record na kuweka record mpyaa kwenye mtandao wa Youtube..
1. Kabla hata haujafikisha Masaa 12, Ukawa ndio wimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.