Quantico Swahili scene season 2 episode 1
Source: Picasso
Katika series hii mfasiri wa wanausalama anawadokeza kuwa magaidi wanaoongea Kiswahili siyo wazawa halisi wa Afrika Mashariki kutokana na lafudhi yao, bali magaidi hao walitumia Kiswahili ili kuficha utambulisho wao ili kuzidi kuwachanganya wanausalama.
N.B
Kiswahili ni lugha pendwa ktk Movie nyingi sana na hii ya series kuanza kutumia Kiswahili ni hatua moja ya kufurahia lugha yetu kutumika duniani katika tasnia ya filamu, series na hata Games (video /playstation/ computer) nyimbo za Kiswahili/soundtrack.
Mfano sinema ya Phone Booth (2002) kuna ''machinga anajaribu kuuza bidhaa zake kwa Kiswahili ktk jiji moja la Marekani.
Pia movie ya The A-Team Swahili Scene Kiswahili kinatumika:
Source: Antony Chiha