DavidHard
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 435
- 273
Hivi kuna wimbo mmoja uliwahi kufanyiwa movie moja bongo hapa.ambapo msanii alikuwa mpiga debe stend alaf anakuja kuchukuliwa na jamaa baada ya kuonekana ana kipaji cha kuchana mistar.kwenye chorus unaimba hivi:kupiga debe kwangu ilikuwa poa,fani katika maisha ikaja kuniokoa,kwa radhi ya wazazi nyumbani nikapata mke......haya ndo maneno ninayoyakumbuka.anayeupata jina na msanii aliyeuimba naomba anikumbushe ikiwezekana na jinsi ya kuupata.