jambo Tanzania
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 377
- 281
Nimekuwa mpenzi wa bia aina ya safari kwa muda mrefu sasa lakini ukiangalia kuna utofauti wa chupa zake moja pale kwenye kifuniko ina shingo nene yaani rungu na nyingine shingo nyembamba .sasa radha yake pia utofautiana ile yenye shingo nene ni tamu zaidi ya nyembamba hivi ni kwanini?