Miaka ya 2000 kulikuwa na band Kali basi Inafrica walitisha na vibao kama Indege, Julie, Yalayala ya shababi.
Nawakumbuka wanamuziki kama Bob Rudala, Bizman na wengineo walikuwa wakali sana jukwaani. Nawamiss
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.