Nawasalimu nyote, lakini salamu aidi iwafikie nyote mlio wadau wa nyimbo toka Congo.
Ninaomba kwa yeyote anayejua Lingala anisaidie kujua Tafsiri au maana ya wimbo wa Ferre Goma -Maboko Pamba...
"Chawa" maarufu wa Mkoa wa Dar , Bwana "Lemtumboz" alitoa ujumbe kupitia Instagram juu ya onyesho OMARION lililofanyika Elements na kumalizwa kiubabe kabla ya muda uliopangwa. Unadhani hili...
Mm Ni Kijana Mwenye Miaka Kumi Na Nane Na Niniakipaji cha kuimba lakin sijapata mdhani wa kunidhamin ili nitoe nyimbo yangu!
Kama unataka kunisaidia nisaidie ili nitoe nyimbo ambayo tayari...
wahenga mliokaa maeneo ya Dsm hasa kinondoni,huyu mzee hamuwezi kumsaha.kipindi hicho mtoto km hataki kuoga au kula we mwambie mzee magambo yupo mlangoni utamkuta bafuni anakusubiri na mlango...
Mkali na nguri wa hip hop Tanzania na Africa Mashariki, Juma Nature na Harmorapa watakuwa Kakola Bulyanhulu usiku huu katika ukumbi wa Bar moja maarufu iitwayo Matako Bar mkabala na Bar nyingine...
Nakumbuka nilivyokuwa dogo, wilaya ya moshi mjini huko, kipindi cha Kampeni utasikia nyimbo za vijembe za Mama Minde aliyegombea ubunge Mara kadhaa na kukutana na upinzani mkali wa Ndesa Pesa...
Hizi movies huwa ni nzuri sana hasa zile zinazoelezea historia za nchi mbalimbali za Africa kama vile jinsi zilivyo struggle kupata uhuru au kuonyesha jinsi mataifa hayo yalivyokuwa governed...
Bondia muingereza antony joshua maarufu kama (AJ) anaesimama na rekodi yake ya kupigana mapambano 19,na kushinda yte 19 kwa k.o,aliejizolea umaarufu mkubwa kwnye ulimwengu wa boxing baada ya...
Je ni jinsi gani umeifurahia siku ya kuzaliwa kwa kiongozi mashughuli Tanzania Dr. John Pombe Magufuli.?
Swali ni kwamba inaumuhimu kwa watanzania kuienzi sherehe hii kila mwaka ifikapo?
najiuliza tatizo ni hatuna wakimbiaji wazuri au tatizo ni nini jamani it's real boaring kila marathoni kubwa unayoisikia duniani ni wakenya, Ethiopia. Eritrea
mwakyembe angalia na upande huu wa...
sisi ambao tumekuwepo miaka ya nyuma mika ile muzik wa zaile umetapakaa nchi na kwa ujumla bara zima la africa nadhan mnakumbuka kulivyokuwa na mpambano wa kukata na shoka kat ya kanda bongoman na...
Habari wana Jf, na Heri ya mwaka mpya 2014.
Binafsi ni mpenzi sana wa muziki haswa nkiwa chumbani kwangu, ila kwa muda sasa nmezitafuta hizi nyimbo Nimekusamehe by Hamza Kalala na wa...
Miaka ya 2000 kulikuwa na band Kali basi Inafrica walitisha na vibao kama Indege, Julie, Yalayala ya shababi.
Nawakumbuka wanamuziki kama Bob Rudala, Bizman na wengineo walikuwa wakali sana...
Jf kuna forum nyingi zikihusisha vitu mbalimbali km burudani,siasa,ujasiriamali nk
Kwa upande wangu naipenda sana forum ya Ujasiriamali coz nahis naendana nayo na ndio forum inayonipa vyote
Je...
Jameni hawa vijana hawa!!!
Yaani wale wasioelewa maneno ya huu wimbo watakua vitoto vya leo......
Eti enzi za sukari nguru, TV kwa jirani, Amita Bhachan...hehehe huu ubunifu dah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.