Hapana mi Nadhan "Jos Mtambo " ndo Mkali kuliko woteHapana mi nadhani 'kimbunga mchawi' ndio bora kuliko wote. Than ndio anafuata Aslay
Mkuu nyimbo za Aslay sehemu kubwa ni ya kuliwaza akili kwani wanawake tulionao kwasasa ni mtihani. Miziki yake nafananisha na Lionel Richie.Aslay nyimbo zake zinakifu! Bado hajaweza kuchanganya maudhui. Akitoa album nyingine yenye nyimbo za dizaini hii, zitamdodea!
Wadau huyu bwana mdogo Aslay anaonekana anafaa kuwa Mwanamuziki Bora wa Bongofleva hapa nchini kwa mwaka 2017.
Maoni yenu ni muhimu
And those who know music.For you only
even for me...japo namkubali dogo excluding such minor exceptions.For you only