Leo tuusikilize na kuujadili wimbo KIPEPEO
https://www.youtube.com/watch?v=lUyLae6jWLY&list=RDlUyLae6jWLY&start_radio=1
Sikumoja itafika, nitafanikiwa mafikara na mawazo siku hiyo yatakwisha...
Nimekutana na huu wimbo umenikumbusha mbali sana, wote wenye mapenzi na mama zao sikilizeni huu wimbo. sauti nzuri za Kyanga Songa na Kasaloo Kyanga wa Tancut Almasi wimbo Mama, pata...
Leo Mei 28, 2026 tunakumbuka miaka 13 tangu tasnia ya muziki wa Tanzania ilipopoteza kipaji cha kipekee—Albert Mangwair, msanii aliyekuwa na sauti ya kipekee na ubunifu uliovuka mipaka ya kawaida...
Wakuu samahani
Kuna wimbo WA Rhumba wa "Franco Luomba unaitwa Eli Kazho"
Mwenye audio au video yake au anayeweza kunisaidia jinsi ya kuupata naomba msaada tafadhali
maana nimetafuta sehemu...
Riwaya.
Mtunzi: Roisa.
Number: 0694840213.
Sehemu ya 2.
Nikakumbuka wimbo wa lady jaydee na professor Jay ulitamba kipindi hicho unaitwa Bongo dar es Salaam. Ama kweli nilijionea ndani ya...
Civilian-Coin introduces new production branch, "C-C Digital Pro", is a comprehensive digital media agency. They specialize in high-quality motion graphics for video, still picture production, and...
Wakuu
Baada ya kuangalia perfomance ya The Mother na Malkia wa Majukwaa ya Kombe la Dunia 'Shakira', The African Giant 'Burna Boy', Tyla kwenye ufunguzi wa michuano hiyo mikubwa ulimwenguni...
MAHABA YASIYOKOMA.
Mimi binafsi huwa ni mpenzi wa tungo mbalimbali za sanaa ya kiswahili.
Tangu utotoni, nimekuwa nikipendelea sana kusoma vitabu na machapisho mbalimbali yaliyoletwa nyumbani...
SEASON 1
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI : PATRICK.CK
Ni saa sita za usiku sasa bado jaji Elibariki chukuswa yuko sebuleni akiendelea kupitia kitabu chake cha sheria .Katika meza ndogo kulikuwa na vitabu...
Wakuu habari zenu, natumai mko poa.
Nimekuwa mpenzi wa vitabu kwa muda mrefu, pia nimewahi kusoma vitabu vingi, ila niseme tu hichi kitabu sikuwahi kukimaliza nadhani wakati kinatoka sikuwa...
Habari wakuu,
Leo naomba tuelezane diss track ambayo unaikubali kutoka kwa wasanii wetu wa Tanzania kutoka katika aina yoyote ya mziki kuanzia bongo fleva, taarabu, zouk, hip hop, dansi, singeli...
Filamu ya kutisha Ya Sinister imeongoza katika orodha ya filamu za kutisha Kwa Mujibu wa utafiti wa kisayansi. Katika nafasi ya pili ni The Ring, ikifuatiwa na Skinamarink.
Katika List hii...
SURA YA KWANZA
ASUBUHI YA HEKA HEKA
Utangulizi.
Richard Dawson, mrakibu mwandamizi wa jeshi la polisikanda maalum ya Dar es salaam, miaka mitano tu tangu ajiungena jeshi hilo, lenye jukumu la...
East Africa Radio
Tatizo ni nini, mnakwama wapi?
Na Mwl Sylvester, George Wambura (PG)
East Africa Radio, ikiwa ni miongoni mwa stesheni ya Radio iliyopata kuwa na watangazaji wenye vipaji pamoja...
Nimeachia wimbo mpya unaomzungumzia Tundu Lissu kwa style ya kipekee.
Nimeuweka kwenye website yangu mpya ya
http://sosybrown.vercel.app
Ukisign up utaweza kuusikiliza pamoja na kuona project...
Mpendwa msomaji.
Kama ulisoma mkasa[emoji116]
(Nilivyo Okoa Maisha Ya Watalii toka Finland).
Huu ni mkasa kamili wa kisa kile. Nilielezea visa vichache kwa ufupi, lengo lilikuw kuonyesha msaada...
Unajua nlikuwa naskiliza huu wimbo kwa machale sana, nikijisemea mhhh sasa anataka kusema nini? Manake huyu naye Kwa kuropoka tu hajambo. Ina maana atamtaja aliyemuua Nyerere ambaye watu wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.