Hadi leo huyu shangazi yangu ananichukia kwa sababu mwaka 2007 aliniomba ni-tune Radio Maria ili askilize kipindi cha 'chaguo lako' ambapo mimi niligoma kufanya hivyo kwani kipindi hicho kilikuwa...
1: nini mnataka mazee - piggy black
https://youtu.be/dCOyQ05vS68?si=uECRMWaSnpW4Q9CI
2: sonia - juma nature
https://youtu.be/uA9-zhfpUjM?si=QhUUlDaEV8M1T-kh
3: ya leo kali - wachuja nafaka...
My fond memory ya huu muziki huu ni pale baba mdogo wangu alipo leta albamu ya sugu nyumbani, ilikuwa na picha ya sugu amefungwa pingu mikononi kashikilia mic na shampeni, humo kulikuwa na ngoma...
Tofauti na movie ubora wa Tv series unapimwa na mambo mengi, ila sana sana ni namna story inavopikwa na kuweza kumshika mtazamaji episode baada ya episode, Twende moja kwa moja kwenye mada list...
Katika muziki wa kisasa, mafanikio ya wimbo hayategemei tu ubora wa sauti au video, bali pia mchanganyiko wa ubunifu, mitandao ya kijamii na wakati sahihi (timing). Hii inafanya baadhi ya nyimbo...
Sherida ... Zacksoul... Wame UNDERPERFORM ila ni vile wabongo tunabebana.... The only good performer ni Samalerah this Round 1 na Comedian wa Mbeya kidogo na so fire....
Ila S2Kzy eti kingereza...
RAISI WA MANZESE MADEE.
Hamad Ally a.k.a madee msanii wa Bongo fleva , moja kati ya wasanii wa Bongo fleva waliokuwa wanaunda kundi la Muziki linaitwa " Tip top connection" , kundi la muziki...
KWENYE MASHINDANO YA BONGO STAR SEARCH USITEGEMEE KUSHINDA KAMA UTAIMBA NYIMBO ZA BONGOFLEVA ALAFU WENZAKO WAIMBE ZA KIZUNGU.
Anaadika, Robert Heriel
Mtibeli
Juzi nilikuwa Mbweni kwenye finali...
Inauma na inaumiza sana, sina maneno mengine yakuieleezea hisia yangu juu ya Muziki na namna Unavyochukuliwa na wanaojiita wadau wa Bongo Flava.
Sipendelei sana kuandika nyuzi ila mpaka leo...
MUHTASARI
Faraja zote walizozitegemea baada ya ujio wa uongozi mpya, zilipotea. Maisha kupanda, mfumuko wa bei ya vitu, ufisadi, ukosefu wa ajira, rushwa ya kila namna. Watu walimlaani Rais...
Wana jamvi,mimi ni mdau mkubwa wa mziki wa mchiriku/mnanda. Mziki ambao ulitawala na kujizolea umaarufu mkubwa kwenye miaka ya 90 hadi 2000,binafsi nimekulia kwenye jamii yenye kuhusudu mziki huo...
Nchi zinazojitambua zinajitahidi Kutunza mitaji ya ndani na hivyo kila fursa inayopatikana inatunzwa kwa faida ya Nchi.
Kirando cha kumnyima Mtanzania (alistahili) Sofia (So-Fire) zawadi ambayo...
Habari zenu wakuu, natumai mpo sawa kiafya. Nisiwapotezee sana muda, tuingie kwenye lengo la kuandika chapisho hili.
Wadau nimekaa nikawaza kuhusu huu muziki wa Bongo flava, nikaona kuna kitu...
Muda huu lile tamasha la miaka 30 limeanza katika ukumbi wa Mlimani City.
Wasanii wa zamani wanapanda jukwaani kutukumbusha zile ladha za miaka ile.
Vijana wa miaka ile njooni hapa Live updates...
JINGLES KALI NA MATANGAZO MAKALI KABISA YA MIAKA HIYO
1. WEEKEND FEVER - RADIO FREE AFRICA- JAY MOE
Ni weekend fever
Jumamosi naisikiliza
2. BAMIZA - MAGIC FM - NGWEA
Magic Fm tuko juu, sisi...
Kwanza tuwe wawazi kwamba miaka ya 1990 ukionekana unaimba bongo fleva ilionekana we ni muhuni, mwizi au mvuta bangi,
Haikuwa kazi ndogo sana kuifanya bongo fleva Ikubalike,
Kubali ukatae hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.