Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu kwema Mbele yenu nina list ya drama ambazo zilinisikitisha me personally baada ya kuziangalia, ziko nyingi but nimezi-compress hadi nimetoka na kumi tuu, ambazo naamini ukienda kuziangalia...
25 Reactions
172 Replies
16K Views
Usiku ulikuwa mzito kuliko kawaida. Mvua ilinyesha polepole kana kwamba anga linafikiria kabla ya kuangusha kila tone. Kijana mmoja aitwaye Baraka alisimama dirishani akitazama taa za mbali za...
1 Reactions
11 Replies
319 Views
Damiani ni kijana wa miaka ishirini na mbili, mhitimu wa chuo kikuu cha Tanzania Institute of Accountancy (TIA) akiwa amechukua kozi ya Finance and Accounting in Public Sector (kozi inayohusu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
As a music lover, I believe I could name you many. What comes to my mind now & as an answer to your precise question is: “I belong to you”, by Jacob Lee. Enjoy!
7 Reactions
180 Replies
8K Views
Kusikiliza link: https://youtu.be/qLDq00Cz98I?si=dsRPioVXGZez_GcK
0 Reactions
0 Replies
52 Views
Wimbo nimeupenda sana lakini isivyo bahati nimeutafuta mno mtandaoni bila mafanikio
2 Reactions
3 Replies
212 Views
Huyu mzee ni balaa, "Blacklist" ni moja ya drama underrated sana. Nipo likizo namuangalia Raymond Reddington aka "Red" Drama inaanza tu jamaa kajisalimisha FBI wakati FBI wamemtafuta miaka na...
6 Reactions
8 Replies
182 Views
kuna yoyote anatumiia aina hii ya android box (TV BOX MXQ PRO 4K 5G) na amesha wai kuweka app ya onstream ? Na bila kupata shida yoyote kwenye kuplay movies au series kwenye app iyo maana me...
1 Reactions
0 Replies
82 Views
Walimu hasa mlioko vijijini. Najua hali ya ufundishaji ni ngumu lakni hakuna namna, komaeni na hizo kishikwambi angalau kukuza ndoto za vijana mfano kuna Dj arts, kuchora, kuimba nk. Ila zinakufa...
2 Reactions
28 Replies
214 Views
" WATU PORI "- ULIBISHA HODI BONGO RECORD Intro : Yeah. ulibisha hodi Oooh ..!! Aaah..!! Nikafungua Yeah..!!! Ulibisha hodi Ng'o..!!! NG'o..,!! Verse.. 1 " Dogo Ditto" Kinachoniumiza ni Huyo...
1 Reactions
3 Replies
139 Views
Aict Nyamikoma Choir wakiwa wanaimba katika Kanisa la Africa Inland Church Tanzania Buswelu Dayosisi ya Mwanza.Mtazame huyu mwimbaji mwenye magongo, anamtumikia Mungu kwa Furaha. Sijui Wewe...
2 Reactions
5 Replies
125 Views
Mwaka 2025 ulijaa burudani ya muziki wa viwango vya juu kutoka kila kona ya dunia. Bongo Flava imeendelea kubeba utambulisho wa Afrika Mashariki, Afrobeat ikizidi kutawala majukwaa ya kimataifa...
4 Reactions
20 Replies
620 Views
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) muziki wa singeli unashika na unakubalika maeneo mengi hadi nje ya nchi lakini pia ni muziki ambao asili yake ni...
2 Reactions
8 Replies
613 Views
the boys season 5 Superheroes are often as popular as celebrities, as influential as politicians, and sometimes even as revered as gods. But that’s when they’re using their powers for good...
0 Reactions
0 Replies
386 Views
Haji Manara amejiunga na WASAFI FM na kuuangana na Oscar Oscar, Edo Kumwembe, na Adela Tilya kwenye kipindi Cha Leo na Jana. Mara baada ya kukaribishwa, ameshaanza kuwa domokaya kiasi cha...
14 Reactions
48 Replies
977 Views
Tangu uzakiwe mpaka unaanza shule ukijumlisha nyimbo zote ulizowai kusikia kuanzia mabata madogomadogo yanaogelea, napenda kuhesabu namba, hadi nyimbo za bongofleva nyimbo za dini zote, nyimbo...
4 Reactions
20 Replies
356 Views
UHUSIANO WANGU KIMAPENZI NA HAMIDA Utangulizi. 'Mama watoto' aliridhia mimi kuandika simulizi hii kwa masharti. Moja ya masharti nijitahidi kutoacha mlango / milango wazi itakayoruhusu watu...
41 Reactions
980 Replies
264K Views
" WATU PORI "- ULIBISHA HODI BONGO RECORD Intro : Yeah. ulibisha hodi Oooh ..!! Aaah..!! Nikafungua Yeah..!!! Ulibisha hodi Ng'o..!!! NG'o..,!! Verse.. 1 " Dogo Ditto" Kinachoniumiza ni Huyo...
1 Reactions
1 Replies
88 Views
Back
Top Bottom