Unapenda wimbo gani? Karibu tushare na kuburudika pamoja.
NB: Wimbo wowote uupendao iwe Gospel, Hip-hop, Rnb, Trap songs, Slow jam, Jazz, Bongo fleva etc etc.
KARIBUNI[emoji4]
jakitoo
Kwa yoyote anayekutana na Miziki ya Sebene na Rhumba (ya zamani na mipya) awe anatuwekea hapa ili Wadau Wengine tujue na tuifuatilie na hata tuwe nayo?
Kama kuna Kitu GENTAMYCINE nakipenda na...
Umaarufu na kupendwa sana kwa muziki wa Congo(DRC) imetokana na nini wakati hata raia wa nchi hii hasa wapenzi wa huo muziki hata hawajui lugha za Kifaransa, Kikongo au Kilingala?
Amapiano japo...
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!.
Kwanza kabisa nipende kuwashukuru wote ambao mmeendelea kuwa na mimi bega kwa bega tangia mwanzo wakati naanza kusimulia visa vya maisha yangu ambayo...
WIMBO: Dunia Iliyochanganyikiwa
(yaani: Crazy World)
MTUNZI: Lucky dube
1. Hadi sasa, mambo yapo vizuri,
Kwa kuwa bado tunaishi,
Lakini hatujui kesho italeta nini,
Katika dunia hii...
https://www.youtube.com/watch?v=91T84O89JeA
“Neema Yako” ni wimbo wa injili uliotolewa na mwimbaji wa nyimbo za Injili, Anna Maboya akimshirikisha Upendo Nkone. Wimbo huo umeachiwa kwenye Mtandao...
Uzi huu utakuwa mahususi kwa ajili ya kutuma simulizi hizi mbili kwa wapenzi wasomaji wangu. Simulizi hizo nazo ni: ANGA LA WASHENZI na JOANA ANAONA KITU USIKU mpaka vikomo vyake.
Karibu tufurahie.
Mwana FA ft Jaydee - Hawajui
Mlimbwende - One The Oncredible
Fid Q ft Christan Bella - Roho
Izo Busness ft Shaa - Kidawa
Chande ft Diamond - Nashindwa
Prof J ft H Blasters ( Big Will & Fanani...
BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE
NO 1.
Maisha n safari na huwez jua kesho yako mungu kaipanga kwa namna gani.
Naitwa marry nimezaliwa mm na mdogo Wangu wa kiume pekee,nilipofika kidato cha...
Aloha kakahiaka....
Kama wewe ni mpenzi wa kutazama mieleka kwa muda mrefu na unawafahamu baadhi ya wacheza mieleka utagundua kwamba michoro/tattoo zilizopo kwenye mikono na mabega ya The Rock...
Singer Weasel Manizo has alleged that several unreleased songs recorded by his late singing partner Mowzey Radio were sold to other artistes after Radio's death in February 2018.
Speaking during...
Story ya kweii yenye mafumbo.
Sehemu ya kwanza....
Dar es Salaam ina siri nzito. Unaweza kudhani unaijua kwa sababu unatembea mitaa ya Posta, Kariakoo, au Masaki mchana, lakini ukweli ni...
Damiani ni kijana wa miaka ishirini na mbili, mhitimu wa chuo kikuu cha Tanzania Institute of Accountancy (TIA) akiwa amechukua kozi ya Finance and Accounting in Public Sector (kozi inayohusu...
1st Post
**********
Mwandishi: KigaKoyo
This is a story of how i met my wife and not merely how i hit the mom and dota. Natanguliza radhi maana udambwi unaweza chelewa kiasi ila you will not be...
Salaam wakuu,
Habari za furahi day?
Okay, mimi kama mpenzi wa movie hua napenda kuhakikisha hakuna kinachonipita hata sentensi moja na ndio maana hua napenda kuangalia movies zenye subs.
Huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.