Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Anasema, Hapo kwa juu kwa moyo panakwangua Kwenye ubongo kuna ka -kitu kanasugua Haki ya Mungu lile likenge lingeniua Si angesema ka -anauza ningenunua Oya Mr. Dj Nipoze moyo Dj Ongeza sauti Dj...
1 Reactions
10 Replies
130 Views
Hii ni kubwa sana , hongera kwa Event organiser wa old xcul Bongo flava 30 yrs, tunapata burudani na kumbukumbu za wayback .
0 Reactions
4 Replies
116 Views
Ukiachana na mambo ya siasa, Sugu ni genius kwenye mambo ya biashara ya burudani. Fast toward, mwaka 2004 Sugu aliandaa / aliratibu tamasha maalumu la kutoa elimu ya na malaria na UKIMWI kwa...
10 Reactions
29 Replies
634 Views
Nyimbo ya dansi sikumbuki vizuri imeimbwa na bendi gani (nahisi tu ni daimond Sound) inaimbwa hivi "Nashangaa na maneno yako umekuwa kigeugeu aah neema tunapopendana na wewe umenitamkia mwenyewe...
0 Reactions
3 Replies
150 Views
Wadau wa burudani na wapenzi wa Hip-Hop/Melodic Rap ya ukweli hapa nchini, mambo vipi!Leo naomba kuwasogezea kazi zangu mpya kutoka kwa msanii anayechipukia kwa kasi kutoka pande za Arusha, Eazy...
1 Reactions
1 Replies
69 Views
1) one in a milion- Aaliyah 2) tease me- chaka demus and plies 3)send it on - D' Angelo 4) hallo-Beyonce 5)shawty- plies 6)Lollipop- lil' wayne 7) yako wapi mapenzi- rubby 8) masogange- belle 9 9)...
3 Reactions
11 Replies
240 Views
Kuelekea miaka 30 ya bongo fleva kuna baadhi ya ngoma zilikua mbele ya muda sana ukiachana na ngoma ya alikiba mapenzi yana run dunia ila video ya macmuga ilikua kali mno kwa kipindi hicho...
2 Reactions
5 Replies
125 Views
Unakumbuka zama za utotoni tukibishana kuhusu John Cena au The Undertaker? Wengi tuliamini wanauana kweli. Lakini leo tuweke mihemko pembeni na tuseme ukweli mchungu: WWE sio mchezo wa mapigano...
2 Reactions
5 Replies
167 Views
IBILISI RUDISHA FAHAMU ZETU(MIMI NA MKE WANGU). BY ISSAI SINGANO . (Singano jr). DIBAJI Saa saba mchana Frida alionekana akiingiza gari ndani ya hospitali na taasisi ya kitafiti ya Neuroscience...
11 Reactions
2K Replies
541K Views
Karibuni kwenye uzi maalumu kwa wale wapenzi wa Comics (Super heros) hasa kwa mashabiki wa DCEU movies na MCU movies. Mimi ni mshabiki wa Marvels hasa Doctor Strange upande wa DC nampenda Joker...
17 Reactions
3K Replies
147K Views
Watu makini wa JF, kwa heshima kubwa napenda kuleta kwenu wimbo tuilioupatia jina "Sauti ya Yesu". Wimbo huu ni matokeo ya matumizi ya teknolojia ya akili unde (AI generated song). Hii...
1 Reactions
0 Replies
57 Views
I don't know what happened to me but this kind of music right now is kicking into my head!, maybe my age now is getting older!..😂 I now really love R&B for sure!, This kind of music is stimulating...
13 Reactions
228 Replies
7K Views
https://youtu.be/N6O2ncUKvlg?si=nuAR6g3nr-ZE7494 Hii ndio ngoma pekee naweza kuiimba mashairi yake mwanzo mwisho yaani😆😆😆😆😆🤣.. I'm proud of myself yaani... Ukimaind it's up to yeah.
1 Reactions
3 Replies
137 Views
Habari kwako msomaji Moja kwa Moja kwenye msaada, Kuna series Fulani ya kikorea ambayo niliifuatilia miaka kati ya 2017/19, ni ya kijeshi. Mwanzo ni mwanaume aliyekuwa akisafirishwa ndani ya...
0 Reactions
2 Replies
94 Views
For Promo only. https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=WFtATkgwuApVX0J3
3 Reactions
7 Replies
93 Views
Kuna Kila sababu mkurugenzi wa Clouds media Bwana Kusaga kumuokoa Civilian-Coin kwa kuinua Ngoma zake katika station zake. For Promo only. https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=WFtATkgwuApVX0J3 Katika...
1 Reactions
1 Replies
98 Views
Iko njiani. Watch trailer yake:
2 Reactions
6 Replies
107 Views
Ebana bonge la ubunifu hii sasa mara ya pili nikienda kwenye bars kubwa kubwa kucheki kombe la dunia katikati ya magoma makali linapigwa hili goma la malebo na watu wana vibe Kinoma noma. Natambua...
6 Reactions
31 Replies
632 Views
Back
Top Bottom