Wakuu naomba tutupie nyimbo kali za gospel zilizobamba sasa na zamani hapa bongo na east africa kwa ujumla. Hii itatusaidia kuzidownload pia na kutafuta album husika. Hii iwe special thread.
Kwa mimi binafsi
Kwa March kuna
1.Stan bakora na mwenzake aisee content zao ziko so unique ni fupi haziboi halafu hazivunji sana maadili, no wonder why makonda amewahi kumsifia stan yuko vizuri...
Habarini za kutwa wanajamvi ,bila shaka wote mko bìèn!.
Kwanza kabisa nianze kwa kusema ninayo mikasa miwili ambayo nimewahi kuishuhudia kwa macho yangu na kuifanya kwa mikono yangu...
https://www.youtube.com/watch?v=wuuDdOeI--k
"X Spy Family" ni filamu nzuri ya watoto na ina mhusika mkuu mmoja aitwae Anya ambae katika vyakula vyote avipendavo huwa hakosi Karanga. Haijulikani...
SIMULIZI: HATIA TAKATIFU
Mtunzi: Kedmund Mtembezi
Mwamdishi: Kedmund Mtembezi
Email: kedmund742@gmail.com
WhatsApp: +255 672 229 424
SEHEMU YA 1
Jua lilikuwa linachoma kama kawaida ya mchana...
Hii sio debate ya leo wala jana ni mjadala
unaoendelea kila kizazi.
Kila upande una hoja, kila shabiki ana msimamo.
Lakini leo, tuweke mapenzi pembeni… tuangalie ukweli kwa jicho la uchambuzi...
RAFIKI WA KWELI;
LYRICAL AND NATURALLY GIFTED AFRICAN (LANGA) MENGISENI KILEO
1. "HAKUNA MC ANAYENISHINDA KWA HIP HOP "
2. " HIP HOP NI UKWELI NA UWAZI, KUKU KAPANDA BAISKELI HAIKUSHANGAZI"
3...
Inasemekana Langa alikuwa miongoni mwa "WACHOYO WA KOLABO" na hata ile NINAPOSIMAMA, Chid alimchana akiwa booth kwa Lamar na Dunga na kusema, sikubali, mtu gani unafanya ngoma mwenyewe tu, hii...
Ulishawahi angalia filamu ukajikuta una question your reality? una-question everything? Yaani filamu imeilenga akili yako mtazamaji kama ni sehemu ya mchezo. Basi huo ni mfano wa Mind...
Mwandishi: H. Rider Haggard, 1892.
Install app ya Maktaba Sauti kutoka playstore uweze kusoma na kusikiliza vitabu mbalimbali.
Utangulizi
Miaka mingi imepita—wakati wa baridi, kabla ya vita...
Mtunzi: Nyemo Chilongani
Sehemu ya 01
Nilisimama juu ya mlima mmoja mkubwa, mawingu yalitanda angani huku radi zikianza kupiga mfululizo hali iliyoonyesha muda wowote ule mvua kubwa ingenyesha...
The legend mwenyewe Bony love alikuwa anafahamiana na Mabaga fresh, kundi la hip hop lilioshirikisha vijana wawili walemavu waliokuwa wanachana sana.
Plan ilikuwa bony love ndio awe muuandaji wa...
I have released my newest song for the first time. Hata kwenye game bado sijaingia. Nawaombeni support yenu wadau, judge if I can or not, au nikalime tu ndizi🥹🥹
I hope you will not let this past...
Hivi kuna mwanamuziki gani pale America anaweza kubattle na Chris Brown kwenye Hits?
Yani anaweza kuwa na hits kali kumzidi Chris Brown (kwa wale wanaoimba)?
I have released my newest song for the first time. Hata kwenye game bado sijaingia. Nawaombeni support yenu wadau, judge if I can or not, au nikalime tu ndizi🥹🥹
I hope you will not let this past...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.