Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Salaam wakuu, Habari za furahi day? Okay, mimi kama mpenzi wa movie hua napenda kuhakikisha hakuna kinachonipita hata sentensi moja na ndio maana hua napenda kuangalia movies zenye subs. Huwa...
16 Reactions
872 Replies
96K Views
https://youtu.be/vSqnzkIu_Vk?si=x0Va2DazuNGc_mpT Jumapili njema kwako.
4 Reactions
3 Replies
74 Views
Throwback hii hapa kwaju wa demu wangu wa Mchizi Mox ft Ngwair nani alipiga verses kali na aliflow kinyamwezi For me naenda na mwanangu Ngwair aliumiza sana humu ndani hasa kile kipande cha...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
MIMI NA MIMI A Story by Elton Tonny Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Tamaa, Hila, Usaliti, Siri, Mambo Ysiyotazamiwa R-rated 18+ Enjoy! ★★★★★★★★★★★★★ SEHEMU YA KWANZA ★★★★★★★★★★★★★...
12 Reactions
1K Replies
315K Views
Mwenye kujua jina la huu mwimbo na jina la mwimbaji tafadhali nijulishe? Huu upo kwenye background wa hilo Tangazo. https://www.instagram.com/reel/DY5FyGRMbVY/?igsh=MWJlb214MWtxejZjbg==
0 Reactions
2 Replies
91 Views
Enzi zile, miongo miwili mitatu ilopita, tulikuwa na Radio moja tu; RTD ilokuwa na Idhaa ya Biashara, Idhaa ya Taifa na External Serive (kimombo). Ilikuwa rahisi sana kujua miziki ilovuma maana...
7 Reactions
114 Replies
42K Views
Mtanisaidia kuangalia 70% ya wana muzi wa singeli wanatokea wapi,wana asili ya wapi
1 Reactions
7 Replies
106 Views
https://youtu.be/HL1x44_Ptnk?si=1W2Zv4MjVxYIQezP
2 Reactions
4 Replies
86 Views
Nilipenda sana reggae zake zilizokuwa zinamidungo ya kiafrika afrika. Watu wengine walifikiri miziki yake ni ya Lucky Dube. Leo ndio nimejua kuwa alishafariki miaka kadhaa iliyopita. RIP Sipho...
0 Reactions
5 Replies
194 Views
Walimwengu ndo wabaya Jama nipo mahututi, tena ndani icuu Mekurubia mauti, nahema kwa juu juu Siwezi swali kunuti, Mola anipe nafuu Dunia haina baya, walimwengu ndo wabaya Wamenipiga ulozi, ule...
3 Reactions
1 Replies
85 Views
Habarini ndugu. Kwa wanao pafahamu Igunga vizuri ni sehemu gani nzuri ya kula bata palipo changamka siku za weekend + mziki mzuri . Natanguliza shukran.
1 Reactions
36 Replies
451 Views
Nimejaribu kuutafuta mahali mahali nimekwama. Sijui kauimba nani, na sijui kama ni mpya au wa zamani,,,, MANENO YAKE...''Tabibu nimesikia habaari wewe mponyaaji,mponyaaji,,, Na mimi, nimeona...
2 Reactions
4 Replies
137 Views
Kikosi cha mastaa zaidi ya 10 kutoka Kabila la Wangoni kinatarajiwa kuonekana jukwaani siku ya Wakunyumba Traditional Party, wote wakiwa masupa staa wa sanaa mbalimbali. Kwa mujibu wa muandaaji...
0 Reactions
3 Replies
192 Views
Kula ngoma na week-end njema
0 Reactions
1 Replies
64 Views
Colombian pop star Shakira has unveiled the official song for the 2026 FIFA World Cup titled Dai Dai, ahead of the tournament set to take place in the United States, Mexico and Canada. 📸: Shakira...
3 Reactions
13 Replies
364 Views
STORY: I AM THE ONE WHO KILLED THE PRESIDENT MWANDISHI: FEBIANI BABUYA WhatsApp: +255621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ UKURASA WA KWANZA Msafara mkubwa wa gari ishirini na tano...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
" I say it " ni ngoma niliyoitengeneza kwa msaada wa google Gemini kwa upande wa beat. But mashairi na ,lyrics its all about me made it. Mwanzo wa utengenezaji wa beat nilianza na hizi code. "Uh...
0 Reactions
2 Replies
94 Views
Usiku wa Mbuguni Usiku wa Mbuguni haukuwa na sauti nyingi. Ni upepo tu uliokuwa ukipita juu ya mashimo ya migodi, ukibeba harufu ya vumbi na jasho la wachimbaji. Amani alikuwa anakimbia. Miguu...
0 Reactions
0 Replies
179 Views
Kompa music vs Amapiano. Nadhani ni muda muafaka sasa wasanii wa Muziki nchini Tanzania wakatibadilishia ladha kdigo toka Bongo piano kuelekea Kompa. Au ikishindikana kabisa wafanye mchanganyiko...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Back
Top Bottom