Nilipenda sana reggae zake zilizokuwa zinamidungo ya kiafrika afrika. Watu wengine walifikiri miziki yake ni ya Lucky Dube.
Leo ndio nimejua kuwa alishafariki miaka kadhaa iliyopita.
RIP Sipho...
Walimwengu ndo wabaya
Jama nipo mahututi, tena ndani icuu
Mekurubia mauti, nahema kwa juu juu
Siwezi swali kunuti, Mola anipe nafuu
Dunia haina baya, walimwengu ndo wabaya
Wamenipiga ulozi, ule...
Habarini ndugu.
Kwa wanao pafahamu Igunga vizuri ni sehemu gani nzuri ya kula bata palipo changamka siku za weekend + mziki mzuri .
Natanguliza shukran.
Nimejaribu kuutafuta mahali mahali nimekwama.
Sijui kauimba nani, na sijui kama ni mpya au wa zamani,,,,
MANENO YAKE...''Tabibu nimesikia habaari wewe mponyaaji,mponyaaji,,,
Na mimi, nimeona...
Kikosi cha mastaa zaidi ya 10 kutoka Kabila la Wangoni kinatarajiwa kuonekana jukwaani siku ya Wakunyumba Traditional Party, wote wakiwa masupa staa wa sanaa mbalimbali.
Kwa mujibu wa muandaaji...
Colombian pop star Shakira has unveiled the official song for the 2026 FIFA World Cup titled Dai Dai, ahead of the tournament set to take place in the United States, Mexico and Canada.
📸: Shakira...
Kwanza nawapa salamu, nazingatia itifaki/
Nadhani Mvumbo mnamfahamu, kwenye mistari mimi ndiye chaki/
Naandika zaidi ya kalamu, mwana Hip hop kindaki ndaki/
Ma mc's wa Jamii Forums, karibuni nyuma...
STORY: I AM THE ONE WHO KILLED THE PRESIDENT
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
WhatsApp: +255621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
UKURASA WA KWANZA
Msafara mkubwa wa gari ishirini na tano...
" I say it " ni ngoma niliyoitengeneza kwa msaada wa google Gemini kwa upande wa beat. But mashairi na ,lyrics its all about me made it.
Mwanzo wa utengenezaji wa beat nilianza na hizi code.
"Uh...
Usiku wa Mbuguni
Usiku wa Mbuguni haukuwa na sauti nyingi.
Ni upepo tu uliokuwa ukipita juu ya mashimo ya migodi, ukibeba harufu ya vumbi na jasho la wachimbaji.
Amani alikuwa anakimbia.
Miguu...
I don't know what happened to me but this kind of music right now is kicking into my head!, maybe my age now is getting older!..😂
I now really love R&B for sure!, This kind of music is stimulating...
Kompa music vs Amapiano.
Nadhani ni muda muafaka sasa wasanii wa Muziki nchini Tanzania wakatibadilishia ladha kdigo toka Bongo piano kuelekea Kompa.
Au ikishindikana kabisa wafanye mchanganyiko...
FROM. Kama wewe ni mpenzi wa Mystery, Sci-Fi, na Horror (kama uliipenda 'LOST'), basi hapa ndipo mahali pako.
UTANGULIZI: Inahusu nini?
FROM inatupa picha ya mji mmoja wa ajabu katikati mwa...
Katika muziki wa kisasa, mafanikio ya wimbo hayategemei tu ubora wa sauti au video, bali pia mchanganyiko wa ubunifu, mitandao ya kijamii na wakati sahihi (timing). Hii inafanya baadhi ya nyimbo...
Habari wana JF!!
Kuna nyimbo naitafuta bila mafanikio. Inaimbwa "nilimwomba Mungu sana (sana sanaa), anipatie tunae pendana (namimi ndo maana). Siku zote mi nawe habibi siku zotee, tupo sote mi na...
Wakat napiga Kaz kwenye mel km oiler ikatokea nafas eng class3 alifanya maamuz ya kurud hom akafanye mambo mengine kwa hiyo nafas yake ilipaswa kuzibwa na ili niipate ile nafas nalazimika kuingia...
Heshima kwenu wanajukwaa.
Kama tunavyojua kwamba huu ni msimu wa sikukuu za xmass and new year na kuanzia leo just tunahesabu siku kuelekea siku ya jingles, so uzi huu ni maalum kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.