Ladies and gentlemen, its me again. The creater of stories like “How I met my wife” na “Cheaters: the series”.
Nakuleteeni Goodness of fit. A story of love, blackmail, betrayal and politics...
RIWAYA: HATARI
Imeandikwa na Halfani SUDY
SIMU 0629 360357
Hii ni sehemu ya kwanza.
MLANGO wa ofisi yake ulisukumwa kwa nguvu, kwa haraka, macho mawili ya Daniel Mwaseba yaliangalia pale...
Naona kwenye mitandao inasemekana kwamba tanzania kuna wasanii wanaofanya bongo movie wakitajwa utakuta kina ray kigosi, Steve Nyerere, Toni Muya, Niva super Marioo, Pastor Muyamba n.k lakini...
Call it love and devotion
Call it the mom's adoration (foundation)
A special bond of creation, hah
For all the single moms out there
Going through frustration
Clean Bandit, Sean-Da-Paul...
Kama fan mkubwa sana wa movies, sometimes inabidi kuangalia genre nyingine out of my favorite genres
Napenda action na horror ila sometimes naangalia genre nyingine na ninaenjoy just fine
Kuna...
this song is Goated 10/10
aliyeutunga Mungu abariki kalumu yake alete tena kitu kama hiki ...
na huyu jamaa wa kuitwa Tikiti kaumix vizuri sana aisee
wimbo gani unakubariki siku hii ambayo bwana...
Chiku alikuwa aenda hotelini jioni waonane ili Afande ampe zawadi kutoka kwashangazi yake Bongo.Chumbani kwa Akande Manyota Hotelini. Afande Manyota anamngojea Chiku kwa hamu. Chiku anabisha hodi...
Ningependa kujua ilipo bendi moja ya mchiriku ambayo ili-modernize muziki wa mchiriku (kwa kuweka vinanda na magitaa) mwanzoni mwa miaka ya 1990 ambayo iliitwa Hisani Musical Club ambyo ilitoa...
Ni wazi kwa sasa hawa ndo underground hiphop artists ambao kwenye upande wa mitindo huru ni wa moto sana
Tuone odds unampa nani ikitoka kweli pesa ikawekwa mezani
Yededede vs kadkitengo vs...
Nilishawahi kumuuliza mama swali, asubuhi moja kupindi bado mdogo, alikuwa anakanda unga wa ngano kwa ajili ya biashara yake ya chapati, muda mfupi kabla sijaenda shule.
Swali lilikuwa kuhusu...
Salam,
Huu mnanda marehemu Lupozi bwana katuachia moja kati ya sanaa/ngoma isiyochuja sababu inazungumzia hali halisi ya miaka yote katika nchi hii kutoka kwa watu wenye vipato duni.
"Maharage...
Wakuu nimeirudia tena series ya Prison Break.
Kwenye season 2 anaibuka Special Agent wa FBI, Alexander Mahone kusaidia zoezi la kuwakamata wafungwa 8 waliotoroka gereza la Fox River.
Jamaa...
Maisha magumu nimeona niingie kwenye game la Music. Kionjo cha wimbo wangu hapa, mnipe rate kati ya 1 hadi 5!
Nimemshirikisha ndugu yetu mpendwa Google Gemini 😆
Habari wadau. Nilikuwa natumia hii moviebox ..... Sasa naona hakuna option ya kufownload yaani ni shida. Msaada tafadhali app nzuri... Isiyotumia torrents.... Asante.
Salaam wakuu,
Habari za furahi day?
Okay, mimi kama mpenzi wa movie hua napenda kuhakikisha hakuna kinachonipita hata sentensi moja na ndio maana hua napenda kuangalia movies zenye subs.
Huwa...
Hii ni hadithi inapatikana katika app yetu ya kahawa time A SPY AND ASSASSIN IN LOVE - Continue Reading on Kahawa Time ikiwa imeandikwa na mwandishi wako mkali EDDAZARIA G. MSULWA ntakua napost...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.