rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,130
- 4,620
Mwanamziki mkongwe nchini Afrika ya kusini Hugh Masekela amefariki nyumbani kwake Mpumalanga baada ya kupigania uhai wake kwa muda. Amekufa kwa ugonjwa wa saratani ya Tezi dume. Mwana mziki huyu ndiye mume wake wa kwanza na mama Miriam Makeba. Alizaliwa Mpumalanga mwaka 1936. Bwana Ametwaa