Shaun Murphy, a young surgeon with autism and savant syndrome, relocates from a quiet country life to join a prestigious hospital surgical unit. Alone in the world and unable to personally connect...
Huu wimbo uliimbwa kitambo tu, na nimewaza labda Hawa kina Aslay waliofanya remix wangeuboresha zaidi lakini ndio wameuharibu kabisa. Mara zote unapoamua kufanya Remix basi fanya kilicho bora...
Kwa wale wanzangu wenye Azam tv, nilikuwa nafatilia mazishi ya MOWZEY RADIO nimeshangazwa, na kukosa kwa mwakalishi kutoka Tanzania atleast nimemuona JAGUAR kutoka KENYA, na mmoja kutoka...
Habari za kushida wakuu wangu, natumain mko salama.
Me nahitaji msaada, kuna movie ya zamani alicheza janet jackson na 2pac inaitwa POETIC JUSTUCE mm nikidownload inagoma na kunionyesha hiv...
The Good ,the Bad and the Ugly. Hii ni moja ya movie za western/cowboys ambazo ni maarufu sana ikiigizwa na clint eastwood.
Kuna wanaowakumbuka bud spencer na terrence hill? Hawa wanazo nyingi...
Wadau naomba kufahamishwa website ambazo naweza kupata game nzuri za action zenye memory ndogo,ziwe ni game zenye risasi nyingi na main character awe anaweza kutembea,kushoot na kufanya mambo...
Habarini wanajamiiforums,huwa nasikia jingle mbalimbali za clouds FM hhuwa ninajiuliza hivi yule anayeingiza sauti kwenye jingles zao ni nani ningependa kumjua anasauti nzito hivi
Tanzania inajaribu kutumia technologia ya drones kuanzisha mtandao mkubwa kabisa kuliko yoyote duniani wa kusambaza damu na madawa kwa haraka na usamala kwenye maeneo ya mbali.
"Randal, Randal, Randal. You were going to leave without saying goodbye, huh"
Unaikumbuka hii movie na kipande hiki chenye haya maneno? aisee ziku zinaenda sana.
Habari ndugu zangu..
Kiukweli toka nipo hapa jijini mbeya nimegundua kuna chimbuko kubwa la vipaji katika muziki huu wa Gospel,hasa tukiona mifano kama BAHATI BUKUKU,MARTHA MWAIPAJA,AMBWENE...
Umofia Kwenu wana JF/Wana Entertainment na Entertainers,
Kuna wimbo nausikia sana ukipigwa redioni ila sijabahatika kupata jina lake,ni common sana nadhani atakuwa ameimba Patoranking(Au...
Kwa wadada ambao mshaiona hii series aisee inachekesha sana,kuna vioja ,,mi sijamailiza yote lakin inanichekesha sana,,kuna wadada wanne humu wama vituko,wanatembea na mwanaume kisha wanasimuliana...
Good afternoon ladies and gentlemen.
Ukijaribu kuangalia video clip ya YouTube hapo juu ukianzia dakika ya 38:45 mpaka 39:45 (nilijaribu ku cut nimeshindwa) utaona jinsi gani msanii Juma Mohammed...
Nilijikuta sina la kufanya katika wakati ule mgumu nikiwa mpweke
Kitandani macho yangu yakiangalia mwanga wa jua ulio penya katika tundu la paa lililochoka na kurusu mwanga kupita kila sehemu ya...
Dah, mimi hii ngoma 'Can't Stop the Reign' ya Biggie na Shaq kila nikiisikiliza najiambia niendelee tu kupambana hadi kieleweke.
I wish tu Biggie mwisho angesema God badala ya devil, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.