Ivi lucky dube na bob marley nani alikua mkali na alitamba sana enzi za muziki wake, Binafsi Wakati nakua nilikua namsikiliza sana lucky dube, lakini walionitangulia wanasema hajawahi tokea kama...
Jamaa ni mkali na anaijua kazi yake, ila huo wimbo ni kati ya chache ninazozikubali, Mungu amsaidie pamoja na skendo zake za uzinzi.
Unaweza kutaja na wewe ni wimbo gani unaukubali toka kwake...
Najua humu wengi ni wapenzi wa series au movie toka nje hasa marekani na wakorea, hivi umeshawahi kutokewa na kitu in normal lyf ukadhan ni real then baadae ukaja kukigundua kumbe kilitokea kwenye...
Kuna watu wataniponda mbona unafatilia mambo ya like
Hawa jamaa wanafanya nione sio bongo movie tuu...ila management nyingi za makampuni nilizofanya nazo kuwa sifuri
Yaani communication na kila...
pichani akiwa na mama anayejua kuigiza mama kawele unazani itakuwa movie ya aina gani cant wait itakuwa bonge la movie
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ni Under-ground lakini anatisha balaa.
Hii ndiyo sauti yake halisi na anaimba Mubashara bila chenga.
Huu ndiyo SOUL MUSIC ambayo wasanii wengi weusi wa Marekani hawawezi kuimba tena...
Mwigizaji na mchekeshaji maarufu Will Smith amepata dili la kuigiza maisha ya raisi mstaafu wa Marekani Hussein Barack Obama baada ya kupata ruhusa maalumu kutoka kwa raising huyo.
thA God thA...
Huu wimbo unatufundisha watanzania tusiwe waoga...Tudai haki zetu
haki haiombwi
Wanalipwa mishahara kwa kodi zetu halafu tuwaogope?
Aliyepewa Ambulance ya Wagonjwa ni Mbunge yupi?
Ni nyimbo ipi uliipenda sana zamani hizo na ungependa uisikilize tena?
Kuna ile ya UVC inaitwa usinicheke,dah nimeitafuta bila mafanikio
Tutiririke wakuu
OLD IS GOOD ALL THE TIME
Andiko bora [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
*IMBA ROMA; MUNGU WA PAULO NDIYE WA DAUDI NA JOHN*
Na Luqman Maloto
Usiyaone ya jirani ukashabikia tu, vifua vina mengi yanafichwa ndani...
siukumbuki jina lakini aliimba linex. anasema kuwa walikubalina na mpenzi wake kuwa aondoke aende akatafute pesa akipata atarudi kumwoa. lakini aliporudi akakuta mwanamke ameolewa au ana mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.