Chanel pendwa kwa sasa tanzania azam 2 inazua mabalaa nyumban kwa tamthilia zake za kihindi zilizotafsiriwa kiswahili..tamthilia hizi ambazo zinakwenda kwa majina ya NAAGIN aka la manyoka nyoka...
Je Kuna Citizen TV ya Kenya kule Tanzania? (Mi ni Mkenya.) Ikiwa kunayo, kuna kipindi ambacho kilijulikana kama "Moyo" kilichokuwa kikija Jumatano (Saa Moja unusu usiku,) na marudio yake saa kumi...
You want me silent?
Kill me first,
You want me quite?
Kill me first.
You want me shut my mouth?
Kill me first.
You want me bite my tongue?
Kill me first.
Kidnapp me,Torture me,
Cripple me, Harass...
NENO LA MATUMAINI.
SIKU moja kundi kubwa la vyura likiwa linahama sehemu moja kwenda nyingi, kwa bahati mbaya vyura wawili wakatumbukia kwenye shimo. Kutokana na urefu wa shimo hilo, vyura...
Nyimbo zake kila ukisikiliza zinaingia hadi kwenye sakafu ya ubongo.
Lakini siku hizi sijui nini kimempata, naomba wadau mrudisheni kwenye mziki
20% Mungu akukumbuke, akuinue tena
Huyu bwana ni mzuri sana kwenye vichekesho na anauwezo wa kumchekesha mtu, nadhani akiungana na Kashi kashi group aka Mizengwe wa ITV tutakula burudani ya aina yake. Ni hayo tu.
Katika hali isiyotarajiwa, imeelezwa kuwa msanii nyota wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu, amemlipua mke wa ‘Nabii’ Tito baada ya mwanamke huyo kumshawishi kupitia mitandaoni aolewe na nabii huyo...
FBI Agent Hanna Willes ananifanya hata nilie,yani niendelee kuifuatilia Hii series ya DESIGNATED SURVIVOR.Huyu ndio starring wangu kwenye hii series.
Kumbe movie zinaweza kumchota mtu akili kiasi...
Bado conte anafail kumfunga wenger kamafunga Mara moja pekee yeye ameshapigwa mechi kibao fa cup final,community shield, carabao cup na EPL
Fans wa Chelsea musitegemee kufumnga arsenal chini ya...
MALAIKA? Au SHETANI? (01)
Kama kawaida, mwanga unapoanza kumezwa na giza la magharibi, shughuli za utafutaji riziki kwa wengi hukoma hadi siku inayofuata. Jioni hiyo, nawe ulifunga biashara yako...
Ni Aslay na Nandy:
Wasanii hawa wakikutana kwenye ubunifu wa wimbo wanafanya vizuri sana binafsi nawapa pongez.
1 kwa 1 kwenye mada, ikitokea nimekutana na wasanii hawa nitawashaur waunde group...
Katika kitu nimebaini ni juu ya Radio ya Clouds FM wanatatizo la usikifu kuwa chini ya kiwango mawimbi hayaendi vizuri kama nikuongeza repeaters fanyeni hima ndo hilo.
Mimi huyu "Tunda man" hata akifanya show sebuleni wakati nipo chumbani wala sitotoka kabisa.
Kama ndio nipo nje basi siku hiyo sitolala ndani ,nitawaachia wamalizie show yao.
Wapendwa ndg zanguni wana JF, Kwanza habarini za wakti huu...., kwa upande wangu Mungu ni mwema amenijalia uzima.
Twende moja kwa moja kwenye mada,
Naomba kwanza ifahamike kuwa mimi binafsi ni...
Mwanamziki mkongwe nchini Afrika ya kusini Hugh Masekela amefariki nyumbani kwake Mpumalanga baada ya kupigania uhai wake kwa muda. Amekufa kwa ugonjwa wa saratani ya Tezi dume. Mwana mziki huyu...
Hugh Masekela,mwanamuziki maarufu wa mtindo wa jazz kutoka Afrika Kusini aliyechangia juhudi za kukabiliana na utawala wa ubaguzi wa rangi nchini humo, amefariki dunia akiwa na miaka 78.
Familia...
AFRIKA KUSINI: Gwiji wa muziki wa Jazz na Nguli wa kupiga Tarumbeta, Hugh Masekela afariki dunia akiwa na umri wa miaka 78. Alikuwa akiugua Kansa ya Kibofu
Atakumbukwa kwa kuwa mstari wa mbele...
mi nafanya hip hop Nina flow tofauti hakuna msanii nnaefanana nae flow nko tofauti kama kuna mtu anaeitaji kusaport uwezo wangu naomba tuwasiliane ili aisikie kazi yangu nipo sirias wadau
unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.