kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,592
- 1,451
Wimbo wa huyu msanii kuanzia mdundo, sauti hadi mashairi na maudhui yake yamejaa ubunifu wa hali ya juu sana. Kwa kweli amejitahidi sana huyu Dogo kwa utunzi murua.
Mi nikisiliza mahali popote lazima niurudie rudie kuusikiliza.
Je, kuna mwenye script ya mashairi yake humu?
If yes, yaweke hapa please.
Mi nikisiliza mahali popote lazima niurudie rudie kuusikiliza.
Je, kuna mwenye script ya mashairi yake humu?
If yes, yaweke hapa please.