Pole sana Roma!
Mara ya kwanza nilikuambia Hongera, lakini leo nakwambia POLE!
wimbo wako unatuonesha kuwa unajuta kuimba Ukweli, Unajuta kusimama upande wa Watu na Unaonesha kuwa Mtindo...
Juzi kati nilikuwa nasikiliza redio nikasikia huu wimbo 'moyo mashine' nikajiuliza ni nani huyu anajua kuimba hivi. Kutafutatafuta nikaona jina Ben Pol, nishalisikia ila nikajiuliza wombo huu...
R.O.M.A MKATOLIKI, ALIVYOZAMISHWA NA KUIBUKIA ZIMBABWE.
Mtu mmoja, mtaalamu wa elimu ya fizikia, Hisabati na elimu ya anga, Bw. Archimedes wa Syracuse aliyeishi kati ya mwaka 287 - 212 Kabla ya...
Nimekuwa nikifuatilia Big Brother Africa kwa muda sasa lakini nilichokuja kugundua ni kuwa hili ni shindano moja chafu sana. Halipendezi kuingiwa na mtanzania.
Haya ni mawazo yangu binafsi...
Spider man: Homecoming
>>>> Baada ya matukio ya kwenye Captain America: Civil War, Peter Parker anajaribu kubalance maisha yake ya shule kama mtu wa kawaida na maisha yake ya kupambana na viumbe...
Hii ni aina ya movie ninazozipenda.. Na hii ni movie bora saana kwangu..
So kama kuna mdau yeyote anaezifahamu movie za aina hii, naomba anidondoshee hapa ili nizichek..........
Wakuu,
Kwa wale wapenzi wa movies na series, tuambizane ni series na movies zipi kali kali.
Umeanza kutizama movies lini.
Your favorite movie or series.
Ni series na movies gani kali...
Bila ya kupoteza muda, hili song la Horace Brown limebeba ujumbe mahususi kwa vijana wa kisasa. Sisi wahenga nadhani tunakaa mbali na kutizama Ujana maji ya moto.
One for the money ("one, one...
Habari waungwana!
Nianze kwa kuwapongeza sana watunzi wa riwaya kwa kazi zao nzuri ambazo huelimisha,huonya,huhamasisha na kuburudisha jamii.Binafsi ni mpenzi wa riwaya hivyo nafurahi sana...
Sekta ya filamu imeendelea kukua kila kukicha nchini Tanzania,ambapo sasa filamu zinazotengenezwa nchini humo zinavuka anga ya kimataifa na kuonyeshwa sehemu nyingine duniani.
T Junction ni...
imezoeleka msanii Roma mkatoliki kila anapoachia wimbo hutoa ujumbe pasi na kuficha chochote lakini kwa huu wimbo wake mpya (zimbabwe) hali imekuwa tofauti, si Roma tuliyemzoea kwa kweli
Roma...
Pitia hii video kujua kilichomkuta Roma Mkatoliki
NB
Siku tatu kama Mateka, wakati huo kuna Mkuu wa Mkoa alitoa ahadi ya kupatikana kwake, na akapatikana kweli. Hakika hata Ben Saanane akitokea...
Kwa wapenzi wa animation film, fanya kuidownload hiyo movie imetulia si mchezo.
2017
Quality: 720p / 1080p
Language: English
Genre: Action , Adventure ...
Mwanamuziki wa kizazi kipya Roma Mkatoliki ameamua kufunguka na kutoa nyongo iliyojaa tumboni mwake Sasa ktk kibao chake kipya Zimbabwe.
Baadhi ya maneno ni kama Kuna siku Mtawala atakuwa...
Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.