Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Pole sana Roma! Mara ya kwanza nilikuambia Hongera, lakini leo nakwambia POLE! wimbo wako unatuonesha kuwa unajuta kuimba Ukweli, Unajuta kusimama upande wa Watu na Unaonesha kuwa Mtindo...
21 Reactions
113 Replies
10K Views
Talented 1
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Juzi kati nilikuwa nasikiliza redio nikasikia huu wimbo 'moyo mashine' nikajiuliza ni nani huyu anajua kuimba hivi. Kutafutatafuta nikaona jina Ben Pol, nishalisikia ila nikajiuliza wombo huu...
22 Reactions
166 Replies
11K Views
R.O.M.A MKATOLIKI, ALIVYOZAMISHWA NA KUIBUKIA ZIMBABWE. Mtu mmoja, mtaalamu wa elimu ya fizikia, Hisabati na elimu ya anga, Bw. Archimedes wa Syracuse aliyeishi kati ya mwaka 287 - 212 Kabla ya...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimekuwa nikifuatilia Big Brother Africa kwa muda sasa lakini nilichokuja kugundua ni kuwa hili ni shindano moja chafu sana. Halipendezi kuingiwa na mtanzania. Haya ni mawazo yangu binafsi...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Spider man: Homecoming >>>> Baada ya matukio ya kwenye Captain America: Civil War, Peter Parker anajaribu kubalance maisha yake ya shule kama mtu wa kawaida na maisha yake ya kupambana na viumbe...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii ni aina ya movie ninazozipenda.. Na hii ni movie bora saana kwangu.. So kama kuna mdau yeyote anaezifahamu movie za aina hii, naomba anidondoshee hapa ili nizichek..........
5 Reactions
23 Replies
3K Views
  • Redirect
Wakuu, Kwa wale wapenzi wa movies na series, tuambizane ni series na movies zipi kali kali. Umeanza kutizama movies lini. Your favorite movie or series. Ni series na movies gani kali...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nimesikiliza wimbo huo sijaelewa kitu zaidi ya picha y mama na waliovaa sanda. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
Replies
Views
Bila ya kupoteza muda, hili song la Horace Brown limebeba ujumbe mahususi kwa vijana wa kisasa. Sisi wahenga nadhani tunakaa mbali na kutizama Ujana maji ya moto. One for the money ("one, one...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari waungwana! Nianze kwa kuwapongeza sana watunzi wa riwaya kwa kazi zao nzuri ambazo huelimisha,huonya,huhamasisha na kuburudisha jamii.Binafsi ni mpenzi wa riwaya hivyo nafurahi sana...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Sekta ya filamu imeendelea kukua kila kukicha nchini Tanzania,ambapo sasa filamu zinazotengenezwa nchini humo zinavuka anga ya kimataifa na kuonyeshwa sehemu nyingine duniani. T Junction ni...
1 Reactions
3 Replies
919 Views
  • Redirect
imezoeleka msanii Roma mkatoliki kila anapoachia wimbo hutoa ujumbe pasi na kuficha chochote lakini kwa huu wimbo wake mpya (zimbabwe) hali imekuwa tofauti, si Roma tuliyemzoea kwa kweli Roma...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kama umeshasikiliza nyimbo mpya ya Roma inayoitwa Zimbabwe hebu tuchambulie japo mstari mmoja uliouelewa. Karibuni wanafasihi
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Sensational track mwenye masikio na aisikilize .........
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Pitia hii video kujua kilichomkuta Roma Mkatoliki NB Siku tatu kama Mateka, wakati huo kuna Mkuu wa Mkoa alitoa ahadi ya kupatikana kwake, na akapatikana kweli. Hakika hata Ben Saanane akitokea...
11 Reactions
Replies
Views
Kwa wapenzi wa animation film, fanya kuidownload hiyo movie imetulia si mchezo. 2017 Quality: 720p / 1080p Language: English Genre: Action , Adventure ...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Redirect
Mwanamuziki wa kizazi kipya Roma Mkatoliki ameamua kufunguka na kutoa nyongo iliyojaa tumboni mwake Sasa ktk kibao chake kipya Zimbabwe. Baadhi ya maneno ni kama Kuna siku Mtawala atakuwa...
1 Reactions
Replies
Views
Nimeona nizungumze hili kwa vile kwa kweli katika walio ktk game ya stand up comedy. Kuna watu wanajaribu sana kumkuza Mc pilipili ambaye mimi namwona ni mmoja ya watu wasiojua kuchekesha hapa...
14 Reactions
67 Replies
7K Views
Back
Top Bottom