Hakuna kitu kinauma kama kufungwa match mfululizo Huyu jamaa kachoka atupishe...Yaani Bado kidogo tu tunapiga kama Ruvu na Simba Jana.
Chonde chonde Kwa mashabiki wote wa Arsenal5 duniani Tuseme...
MUZIKI WA BONGO FLEVA USIWE CHANZO CHA KUARIBU TAIFA KWA TUNGO CHAFU..
Na Mgeni_wa_Jiji
Sanaa ni ajira iliyowainua vijana wengi duniani na sasa Tanzania tunalishuhudia hili. Ikiwa sanaa ni ajira...
Nimeona mpaka Aly Hape heti kakapenda je anajuwa kawimbo kenyewe kana maana gani? Maana ni mambo ya mapenzi!! .je Ali Kiba ume mseduce Ali Hapi au kaona mapicha aliyoweka Mange kimambe kwenye...
Wakuu nimekuwa nikisikiliza mashairi ya wimbo huu na kuniacha nikitabasamu eti Mwanaume mashine! Ninacholingia Mashine..!!
hivi wanawake wao ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
habari wanaburudani ....hebu tupige story na kujiunga katika group la mziki mzuri kwa love jijoin hapa
KING KIBA VIEWERS
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa ni mfuatiliaji wa miziki ya Kikongo ( DRC ) tokea nikiwa darasa la Kwanza mpaka hii leo nipo katikati mwa Ujanani na Uzeeni lakini sijawahi kuvutiwa na Nyimbo hizi zifuatazo za midundo ya...
Sikatai tupo kwenye Soko huria/free market hata ukiona jirani yako kajenga saloon leo nawe unaweza kujenga pembeni yake tu.
All most kama siku tatu hivi zimepita alianza msanii Ali Kiba kutoa...
Nilifarijika sana leo wakati natizama movie inaitwa aquos PEOPLE kiukweli niliipenda na ikabidi niirudoe mara kama 3 hiyo scene mahali mama katika movie hiyo aliikua anaucheza huo wimbo kwa madaa...
baada ya leo mchana kupost picha ya wimbo wa diamond na kutopost wimbo wa alikiba.. Na baadae kupost mpambano wa ngumi ya TMT
Sent from my Linux ubuntu mobile
Ijapokua wengi hua wanapata taabu sana kumuelewa Mrisho Mpoto lakini hakuna atakaebisha kua jamaa anaitendea haki fasihi, hebu sikilizeni huu wimbo wake mpya halafu mlete mrejesho. kiiitendwiiiili
Hivi Wale mameneja waliojazana pale wasafi hicho ndicho wanachomshauri Simba, au hashauriki. Mtu kashatoa nyimbo 4, Fire, miss you, Eneka, na fresh remix. Ambazo nyingi bado zinafanya vizuri kitaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.