Hichi kipindi cha sam misago eatv nilikuwa nakifuatilia sana zamani nilikuwa sikosi mambo yalikuwa hot surprise kibao za wasanii wakija kuzungumzia kazi zao
Ila siku hizi naona kama mambo...
Huwa nikisikiliza nyimbo za wasanii mbalimbali ambazo
production ni ya Abbydad naona ni nyimbo kali sana
Binafsi nyimbo mbili hizi...Aje-Ali Kiba na Rudi- Richie Mavoko...kwangu
hazichuji kabisa...
Yamewadia baada ya safari ndefu ya kuanzia kick off ya NBA REGULAR SEASON iliuokutanisha Tim 30 za west 15 Na east 15.....hatimaye playoffs....ikaingia ambapo timu 8 kutoka east Na west...
Bila kupoteza muda nikukumbushe wale vijana wakigiriki na meli zao
Mnakumbuka wapi mnaposikia hivi vitu
1.The manhattans.. Kiss and say goodbye
2.The commodores.. Night shift
3Three degrees.. When...
Chama cha mapinduzi na watu wake kilivaa rangi nyekundu, na walipenda kuonyesha dole gumba, nilikaa nikajiuliza hivi hawa ni CHADEMA wanaotaka kuwa Wanaccm au,,,,,
Nilishangaa sana kuona hata...
ASIA DIGITALI *******UTANGULIZI.***** . . Maisha ni jinsi unavyoyachagua wewe, ukipenda yawe hivi basi yatakuwa ulivyopanga. Ni jitihada za mwanadamu kujichagulia maisha. . . Asia anajikuta...
Mara ya mwisho kusikia msanii mkubwa wa Marekani amekuja Tanzania na kufanyia video yake huku ni Oktoba 2007. John Legend alisafiri hadi visiwani Zanzibar kwenda kushoot video ya wimbo wake Show...
Tukiacha utimu ukabila nchi na ubaguzi, hivi ni nani anayejua zaidi ya huyu Jamaa Nyanshiski? Leo katoa tena dude linaitwa Beibe ni zaidi ya Malaika
Kwangu mimi Nyanshiski ni the best East...
Febrauary 14 ni mashuhuri duniani kama valentine day yaani siku ya wapendanao duniani. Siku hii imekuwa siku ya kufanya biashara na watu wanaitumia kujitajirisha na kufanya biashara zaidi. Lakini...
Hii ni thread maalum kwa wapenzi wa filamu za kiswahili hasa za kitanzania. hapa utapata nafasi ya kujua muvi gani ya kiswahili imeingia sokoni, muvi gani inafanya vizurri.
kila siku utapata...
Hii ni thread maalum kwa wapenzi wa filamu za kiswahili hasa za kitanzania. hapa utapata nafasi ya kujua muvi gani ya kiswahili imeingia sokoni, muvi gani inafanya vizurri.
kila siku utapata...
Naeza sema wewe ni mzuri ila siwezi kusema unauzuri wa kuisimamisha Dunia.Sijui uchawi gani huwa upo kwenye hisia za binaadamu hasa wa kiume tunajisahau sana hasa tunapoingia kwenye ulimwengu wa...
Habarini wadau.
Leo ile movie ya action ijulikanayo kama kingsman 2: the golden circle inazinduliwa huko Marekani na sehemu kadhaa duniani.
Katika part 2 ya hii movie inajikita kuelezea kisa mara...
Wadau,
Kwa yeyote mwenye Gaither gospel series hasa videos na ziwe katika softcopy anisaidie ama aniuzie. Kama zipo kuanzia 50 na kuendelea itakuwa vzr zaidi.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.