kiraza
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 353
- 480
Habari wanajamvi. Kuna wimbo huu nimeufanya Home Studio. Nipo mbele yenu kuomba ushauri wenu kama naweza kuimba au siwezi nirudi kijijini nikalime.
Kama utatokea kupenda nilichofanya usisahau KuSubscribe Youtube Channel yangu na kama Hutapendezwa kuwa wazi kuniambia nilipokosea.
Asanteni sana
Kama utatokea kupenda nilichofanya usisahau KuSubscribe Youtube Channel yangu na kama Hutapendezwa kuwa wazi kuniambia nilipokosea.
Asanteni sana