Nimeimba wimbo huu, najua kuimba au sijui, naomba ushauri

kiraza

JF-Expert Member
Jun 6, 2016
353
480
Habari wanajamvi. Kuna wimbo huu nimeufanya Home Studio. Nipo mbele yenu kuomba ushauri wenu kama naweza kuimba au siwezi nirudi kijijini nikalime.
Kama utatokea kupenda nilichofanya usisahau KuSubscribe Youtube Channel yangu na kama Hutapendezwa kuwa wazi kuniambia nilipokosea.

Asanteni sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom