DMCT
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 2,276
- 5,929
Wakuu habarini,
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale, pamoja na hayo burudani ni muhimu sana hasa muziki.
Kuna wimbo nautafuta sana sijaupata una mistari kadhaa inasomeka "mimi ni Erik shigongo utajiri wangu wema pia ana mchango.." Pia anasema "mm ndo yule shehe ponda wakowali mapaparazi.." Mm ni Hashimu Lundenga, ule uchaguzi wa city tulichemka kabisa, lakini tusameheane... Mwenye kuujua please nautafuta sana.. Nawasilisha
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale, pamoja na hayo burudani ni muhimu sana hasa muziki.
Kuna wimbo nautafuta sana sijaupata una mistari kadhaa inasomeka "mimi ni Erik shigongo utajiri wangu wema pia ana mchango.." Pia anasema "mm ndo yule shehe ponda wakowali mapaparazi.." Mm ni Hashimu Lundenga, ule uchaguzi wa city tulichemka kabisa, lakini tusameheane... Mwenye kuujua please nautafuta sana.. Nawasilisha