Wasafi wamenifanya Nisisikilize Clouds Fm

Wasafi wamenifanya Nisisikilize Clouds Fm

Mwatulole

Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
55
Reaction score
194
Kiukweli mwanzoni nilikuwa nafikili ni maneno ya mtandaoni, Kuwa wasafi wametofautiana na clouds media, Kuwa ni ya kizushi lkn kadli siku zinavyo songa mbele binafsi nimeamini sasa, Baada ya kutosikia nyimbo yoyote kutoka kwenye Lebo ya Wasafi kutopewa airtime kwenye media hiyo na kwa hali hiyo imenifanya nisi isikilize radio yao ambayo imekuwa na ubaguzi, Kweli tofauti hizo tu zinatufanya sie wasikilizaji pia tuwajibishwe kwa tofauti zao kwa kutowasikia wasanii wa nchi hii nyimbo zao zikikosa kupigwa hewani.
 
Mimi siipendi pia clouds,ila naisikiliza [emoji23]
 
Kiukweli mwanzoni nilikuwa nafikili ni maneno ya mtandaoni, Kuwa wasafi wametofautiana na clouds media, Kuwa ni ya kizushi lkn kadli siku zinavyo songa mbele binafsi nimeamini sasa, Baada ya kutosikia nyimbo yoyote kutoka kwenye Lebo ya Wasafi kutopewa airtime kwenye media hiyo na kwa hali hiyo imenifanya nisi isikilize radio yao ambayo imekuwa na ubaguzi, Kweli tofauti hizo tu zinatufanya sie wasikilizaji pia tuwajibishwe kwa tofauti zao kwa kutowasikia wasanii wa nchi hii nyimbo zao zikikosa kupigwa hewani.
Mbn mi huwa nazickia nyimbo zao jmn
 
Nyie kila redio wabaguzii...mlianza na east africa radio leo mmejeukja clous na wambiaje nyie team mondi..hizi redio zitabaki na heshima yake
Acheni mambo za ajabu..nyie msipo sikiliza nyie wapo watu watasikiliza wanaojua mchango wa hizi redio kwenye music industry.
 
Back
Top Bottom