sangujoseph
Senior Member
- Nov 30, 2015
- 164
- 183
Na Sangu Joseph
.
Kwanza nianze kuwapongeza kampuni ya Azam Media kupitia mkurugenzi wake TIDO MUHANDO kwa kuamua kuirejesha tena kwenye Ramani Tasnia ya filamu nchini kiukweli kwa upande wangu sikuona changamoto au jambo lolote lililopelekea tuzo kutokwenda vizuri kimsingi zilikua poa sana kuanzia tuzo ya kwanza mpaka ya mwisho HONGERENI SANA mmejaribu mumeweza we are proudly of them aisee ndio maana mpaka SASA hivi hakuna malalamiko.
.
Lakini Kama ilivyokawaida inapotokea KITU kikubwa kama vile wadau lazima tuangalie kwa jicho la tatu namna nzima ya tuzo na utoaji kwa jicho langu kuna baadhi ya vitu nimefanikiwa kuviona sio kwa waandaji Bali wasanii wetu wa Bongo filamu nchini.
MASTAA WENGI HAWAKUWEPO KWENYE TUZO. Licha ya kuamini kuwa jana NDO ilikua kama kuzaliwa upya kwa Tasnia ya filamu bongo lakini nilishangazwa kuona idadi kubwa ya Wasanii ambao tunaamini wanatamba kama kina JB, RICHIE, RAY, WOLPER, UWOYA, na NK Kutokuwepo kwenye vipengele vyovyote nilijiuliza kwanini hawapo badhani kwa Kuwa mchakato (Majaji) uliendeshwa na wasomi itakua wasanii hawa kuna baadhi ya vigezo hawakufikia so nahisi kwa mwaka ujao watajipanga zaidi.
.
TUZO KUBEBWA NJE TZ BARA. Ukitoa vipengele vya Msanii mmoja mmoja, lakini kuna baadhi ya Tuzo ambazo ziliashiria BONGOFILM inahitaji kujiboresha sababu ya umuhimu wa vipengele hivyo mfano kipengele cha Mhariri bora wa Picha filamu ndefu, Mpiga picha bora Filamu ndefu, Tuzo zilienda KENYA kwa filamu ya Watatu, tuzo nyingine Mwandishi bora Filamu fupi, tuzo ya Muziki wa asili, Chaguo la Majaji Tuzo ilienda Visiwani Zanzibar kwa filamu ya BINTI ZANZIBAR. changamoto Pia kwa wasanii wetu kwenye tuzo zijazo lazima waweze kuzingatia maudhui na uhalisia ili waweze kufanya vizuri kwenye tuzo hizi.
.
TUZO ZA WEMA SEPETU. Licha kuibuka na tuzo mbili kama Msanii bora wa kike Na Chaguo la Watazamaji ni kweli imedhirisha Wema sepetu ndio msanii wa kike mwenye zaidi kuliko wote TZ ukizingatia ndie Msanii pekee Maarufu wa kike aliyeingia kwenye vipengele vingi kwenye Tuzo japo alishinda tuzo mbili tu but anapaswa kuongeza juhudi maana vipengele alivyoshinda ni ambacho kinahitaji ushawishi wa watu kupiga kura na lakini sio maudhui so itamuwia vigumu ikitokea msanii mwenzio mwenye ushawishi kama yeye akiingia kwenye kipengele hicho mfano WOLPER, JOKATE.
.
BONGO MUVI BADO INAVIPAJI. Aisee ni kweli ili ilihitaji mashindano kama haya ili kujua vipaji vipya vya bongo muvi Licha ya filamu za chipukizi kushirik kwenye vipengele mbalimbali lakini nimefurahishwa na baadhi ya Tuzo kuchukuliwa na filamu ambayo nilikua sihifahamu hii imeonesha umuhimu wa waandaji maana bila wao tusimgewajua wasanii wapya badala yake tungeendelea kuwapuuza wasanii wachanga wa Filamu mfano wa Tuzo mbili zilibebwa na watu wapya ambao simjui hata mmoja ni tuzo ya mhariri bora wa Filamu fupi na tuzo ya mpiga picha bora filamu fupi iliendwa kwa Filamu ya USINITENGE.
.
FInnaly imedhihirika Kuwa Gambo Zigamba ndie msanii bora wa kiume kwa sasa Bongo kunyakua tuzo NNE si mchezo kupitia filamu tu aliyocheza yeye wakati kulikuA na wasanii wakubwa kama Kina Ray, Jb ambao nao hata mmoja hawakuwepo kwenye vipengele chochote.
HONGERENI azamtv NYI MFANO WA KUIGWA.
.
[HASHTAG]#kijanamzalendo[/HASHTAG] [HASHTAG]#ilovetz[/HASHTAG] [HASHTAG]#maoniyangu[/HASHTAG]
.
Kwanza nianze kuwapongeza kampuni ya Azam Media kupitia mkurugenzi wake TIDO MUHANDO kwa kuamua kuirejesha tena kwenye Ramani Tasnia ya filamu nchini kiukweli kwa upande wangu sikuona changamoto au jambo lolote lililopelekea tuzo kutokwenda vizuri kimsingi zilikua poa sana kuanzia tuzo ya kwanza mpaka ya mwisho HONGERENI SANA mmejaribu mumeweza we are proudly of them aisee ndio maana mpaka SASA hivi hakuna malalamiko.
.
Lakini Kama ilivyokawaida inapotokea KITU kikubwa kama vile wadau lazima tuangalie kwa jicho la tatu namna nzima ya tuzo na utoaji kwa jicho langu kuna baadhi ya vitu nimefanikiwa kuviona sio kwa waandaji Bali wasanii wetu wa Bongo filamu nchini.
MASTAA WENGI HAWAKUWEPO KWENYE TUZO. Licha ya kuamini kuwa jana NDO ilikua kama kuzaliwa upya kwa Tasnia ya filamu bongo lakini nilishangazwa kuona idadi kubwa ya Wasanii ambao tunaamini wanatamba kama kina JB, RICHIE, RAY, WOLPER, UWOYA, na NK Kutokuwepo kwenye vipengele vyovyote nilijiuliza kwanini hawapo badhani kwa Kuwa mchakato (Majaji) uliendeshwa na wasomi itakua wasanii hawa kuna baadhi ya vigezo hawakufikia so nahisi kwa mwaka ujao watajipanga zaidi.
.
TUZO KUBEBWA NJE TZ BARA. Ukitoa vipengele vya Msanii mmoja mmoja, lakini kuna baadhi ya Tuzo ambazo ziliashiria BONGOFILM inahitaji kujiboresha sababu ya umuhimu wa vipengele hivyo mfano kipengele cha Mhariri bora wa Picha filamu ndefu, Mpiga picha bora Filamu ndefu, Tuzo zilienda KENYA kwa filamu ya Watatu, tuzo nyingine Mwandishi bora Filamu fupi, tuzo ya Muziki wa asili, Chaguo la Majaji Tuzo ilienda Visiwani Zanzibar kwa filamu ya BINTI ZANZIBAR. changamoto Pia kwa wasanii wetu kwenye tuzo zijazo lazima waweze kuzingatia maudhui na uhalisia ili waweze kufanya vizuri kwenye tuzo hizi.
.
TUZO ZA WEMA SEPETU. Licha kuibuka na tuzo mbili kama Msanii bora wa kike Na Chaguo la Watazamaji ni kweli imedhirisha Wema sepetu ndio msanii wa kike mwenye zaidi kuliko wote TZ ukizingatia ndie Msanii pekee Maarufu wa kike aliyeingia kwenye vipengele vingi kwenye Tuzo japo alishinda tuzo mbili tu but anapaswa kuongeza juhudi maana vipengele alivyoshinda ni ambacho kinahitaji ushawishi wa watu kupiga kura na lakini sio maudhui so itamuwia vigumu ikitokea msanii mwenzio mwenye ushawishi kama yeye akiingia kwenye kipengele hicho mfano WOLPER, JOKATE.
.
BONGO MUVI BADO INAVIPAJI. Aisee ni kweli ili ilihitaji mashindano kama haya ili kujua vipaji vipya vya bongo muvi Licha ya filamu za chipukizi kushirik kwenye vipengele mbalimbali lakini nimefurahishwa na baadhi ya Tuzo kuchukuliwa na filamu ambayo nilikua sihifahamu hii imeonesha umuhimu wa waandaji maana bila wao tusimgewajua wasanii wapya badala yake tungeendelea kuwapuuza wasanii wachanga wa Filamu mfano wa Tuzo mbili zilibebwa na watu wapya ambao simjui hata mmoja ni tuzo ya mhariri bora wa Filamu fupi na tuzo ya mpiga picha bora filamu fupi iliendwa kwa Filamu ya USINITENGE.
.
FInnaly imedhihirika Kuwa Gambo Zigamba ndie msanii bora wa kiume kwa sasa Bongo kunyakua tuzo NNE si mchezo kupitia filamu tu aliyocheza yeye wakati kulikuA na wasanii wakubwa kama Kina Ray, Jb ambao nao hata mmoja hawakuwepo kwenye vipengele chochote.
HONGERENI azamtv NYI MFANO WA KUIGWA.
.
[HASHTAG]#kijanamzalendo[/HASHTAG] [HASHTAG]#ilovetz[/HASHTAG] [HASHTAG]#maoniyangu[/HASHTAG]