Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,662
Habari zenu wapendwa wa JF,
We siku Upo kwenye mfungo.....Habari zenu wapendwa wa JF,
Nilikuwa naomba mtu mwenye wimbo wa weusi unaoitwa Mdundiko naomba aniandikie hapo chini kuanzia kiitikio na ubeti wa kina G Nako, Nikki Wa Pili.
Joh Makini na Bonta Maarifa maana mimi nimeshindwa kuusikiliza maana masikio yangu yana matatizo.
Asanteni
Endelea bas myMdundiko, mdundiko, mdundiko, [emoji445] [emoji445]
Waya mkali waya [emoji445] [emoji445]
Wee ba_ba waya mkali waya [emoji445] [emoji445] [emoji445]...............