Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

DJ Maphorisa & Porryland – Gqom Wave II. Blaqboy Music chief, DJ Maphorisa has released a follow up to his highly successful and well received Gqom Wave album. The new one is titled Gqom Wave II...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanandugu naomba mnisaidie. Wapi naweza kudowload hizi nyimbo za miaka ya 90, moja inaimbwa "Shambani,shambani,shambani shambanii mazao bora shambaaani. Tushike jembe shambaaani,wananchi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani kuna huu wimbo wa malaika, uliotungwa enzi hizo, malaika nakupenda malaika, wakenya eti wanadai ni wa kwao , wakati miriam makeba aliaknowledge kuwa wimbo huo ni wa tanzania, Inasemekana...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mae Levibe. South African Hip Hop Artist, Mae returns with a new song titled Levibefollowing up the release of his previous single “Bulldozer” which dropped weeks back. Levibe is the latest from...
0 Reactions
0 Replies
741 Views
VERSE 1: Ulianza wewe.. wakaja waimbaji na wabana pua Wale mwewe.. Franga wawindaji wakatusua Kwakuwa.. wanajua mshikaji unaishi kwa miko Na zako itikadi.. ziko kimziki na sio mshiko Kama haileti...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Labda nianze tu kwa pongezi nyingi kwa uyu kijana hakika amekuja kuleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya burudani hususani muziki,ni kwamba uyu jamaa juzkati alifungua television yake na sasa pia...
1 Reactions
4 Replies
940 Views
Nimekuwa nikifuatilia huu mdahalo wa mange kimambi na dudubaya lakini nilichokiona ni kwamba mange kaishiwa points Mr konk anapangua Kama Ana bullet proof yaan hyu binti Leo kapata mpinzani...
3 Reactions
38 Replies
6K Views
Habari wote? Lengo la uzi huu ni kuomba ushauri wa njia zipi zinaweza kutusaidia kufanikiwa katika muziki wa kizazi kipya. Katika ushauri ningependa wadau muanzie katika ngazi ya baada ya kuandaa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naam, Ni ile Bahati nasibu pekee na ya aina yake inayokuwezesha Mtanzania kuhamia MAREKANI, Bila zengwe wala longolongo. Itambulike, Hii ni Bahati nasibu, Inavyo vigezo na masharti maalumi vya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,natumai weekend ilikuwa poa sana kwa upande wenu,kwangu ilikuwa ya kipekee msiniulize kwanini. Wangapi wanafatilia bongo starsearch muda huu,tutete mawili matatu kwa ujio mpya...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanabodi habari zenu Ninayo furaha tena kurudi duniani toka gizani kwa siku 14. Nakumbuka ilikuwa siku ya ijumaa ya tarehe 6/10/2017 majira ya saa sita mchana nilipo kuwa mahakamani kusikiliza...
7 Reactions
34 Replies
6K Views
Nimekusogezea hapa Wimbo Mpya wa Kwake MWL. KAMUSI Akiwa Kashilikiana na Darassa pamoja na MB DOG Wimbo Unaitwa SIO SAWA BONYEZA HAPA KUSIKILIZA NEW AUDIO | MWL. KAMUSI Ft. DARASSA & MB DOG –...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mimi nahis, tukitaka maendeleo ya nchi kutoka nchin mwetu bila kutegemea misaada ya nje, inatubidi tupange mikakati iliyo bora, watoto wadogo huwa na vipaji vikubwa lakin mfumo wa elimu uliopo...
0 Reactions
3 Replies
576 Views
JE, UNATAKA KUPATA NAKALA YA JOHN WISSE (BROKEN CAMPUS RULE) BURE KABISA? Niambie nikuletee weekend hii, utanilipa nauli tu basi. Kwa wakazi wa Dar es salaam pekee!!! Nakala zipo 10 tu!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Download game la Fifa hapa Download game la Fifa19 hapa baada ya hapo fuata maelekezo ya kwenye video Youtube hii Ili ulifanye licheze
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wadau, wapenda burudani wenzangu, Naomba mwenye wiimbo wa PASHA Nisoo REMIX, ule ambao una sauti ya mdada katika kiitikio, aniwekee hapa Nitashukuru sana. Mods naomba Uzi wangu muuache kama...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau, Naomba nichue fursa hili kumshauri ndugu ya MO dewji kuwa nasi katika kupaza sauti. Serikali hili sio rafiki kwa kila mmoja lakini ni jambo njema kuwa na sisi katika matukio kama haya...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwa wale wataalam wa Danc Hall hii kitu ni Club benga moja hatari sana,unabambia hadi asubuhi,Mond is very flexible anafeat popote pale hata kwenye mdumange
1 Reactions
54 Replies
8K Views
Kuna huu wimbo unaitwa KITABU aliimba DARASA na kumshirikisha Diamond Platnumz. Mimi mara ya kwanza kuusikiliza ilikuwa mwaka 2011 au 2012 kama sikosei. Sasa juzi nipitia vitu vyangu vya zamani...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Back
Top Bottom