DJ Maphorisa & Porryland – Gqom Wave II. Blaqboy Music chief, DJ Maphorisa has released a follow up to his highly successful and well received Gqom Wave album. The new one is titled Gqom Wave II...
Wanandugu naomba mnisaidie. Wapi naweza kudowload hizi nyimbo za miaka ya 90, moja inaimbwa "Shambani,shambani,shambani shambanii mazao bora shambaaani. Tushike jembe shambaaani,wananchi...
Jamani kuna huu wimbo wa malaika, uliotungwa enzi hizo, malaika nakupenda malaika, wakenya eti wanadai ni wa kwao , wakati miriam makeba aliaknowledge kuwa wimbo huo ni wa tanzania, Inasemekana...
Mae Levibe. South African Hip Hop Artist, Mae returns with a new song titled Levibefollowing up the release of his previous single “Bulldozer” which dropped weeks back.
Levibe is the latest from...
Labda nianze tu kwa pongezi nyingi kwa uyu kijana hakika amekuja kuleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya burudani hususani muziki,ni kwamba uyu jamaa juzkati alifungua television yake na sasa pia...
Nimekuwa nikifuatilia huu mdahalo wa mange kimambi na dudubaya lakini nilichokiona ni kwamba mange kaishiwa points Mr konk anapangua Kama Ana bullet proof yaan hyu binti Leo kapata mpinzani...
Habari wote?
Lengo la uzi huu ni kuomba ushauri wa njia zipi zinaweza kutusaidia kufanikiwa katika muziki wa kizazi kipya.
Katika ushauri ningependa wadau muanzie katika ngazi ya baada ya kuandaa...
Naam,
Ni ile Bahati nasibu pekee na ya aina yake inayokuwezesha Mtanzania kuhamia MAREKANI,
Bila zengwe wala longolongo.
Itambulike,
Hii ni Bahati nasibu,
Inavyo vigezo na masharti maalumi vya...
Habari zenu wakuu,natumai weekend ilikuwa poa sana kwa upande wenu,kwangu ilikuwa ya kipekee msiniulize kwanini.
Wangapi wanafatilia bongo starsearch muda huu,tutete mawili matatu kwa ujio mpya...
Wanabodi habari zenu
Ninayo furaha tena kurudi duniani toka gizani kwa siku 14. Nakumbuka ilikuwa siku ya ijumaa ya tarehe 6/10/2017 majira ya saa sita mchana nilipo kuwa mahakamani kusikiliza...
Nimekusogezea hapa Wimbo Mpya wa Kwake MWL. KAMUSI Akiwa Kashilikiana na Darassa pamoja na MB DOG Wimbo Unaitwa SIO SAWA
BONYEZA HAPA KUSIKILIZA NEW AUDIO | MWL. KAMUSI Ft. DARASSA & MB DOG –...
Mimi nahis, tukitaka maendeleo ya nchi kutoka nchin mwetu bila kutegemea misaada ya nje, inatubidi tupange mikakati iliyo bora, watoto wadogo huwa na vipaji vikubwa lakin mfumo wa elimu uliopo...
JE, UNATAKA KUPATA NAKALA YA JOHN WISSE (BROKEN CAMPUS RULE) BURE KABISA?
Niambie nikuletee weekend hii, utanilipa nauli tu basi.
Kwa wakazi wa Dar es salaam pekee!!! Nakala zipo 10 tu!
Wadau, wapenda burudani wenzangu, Naomba mwenye wiimbo wa PASHA Nisoo REMIX, ule ambao una sauti ya mdada katika kiitikio, aniwekee hapa
Nitashukuru sana.
Mods naomba Uzi wangu muuache kama...
Wadau,
Naomba nichue fursa hili kumshauri ndugu ya MO dewji kuwa nasi katika kupaza sauti.
Serikali hili sio rafiki kwa kila mmoja lakini ni jambo njema kuwa na sisi katika matukio kama haya...
Kwa wale wataalam wa Danc Hall hii kitu ni Club benga moja hatari sana,unabambia hadi asubuhi,Mond is very flexible anafeat popote pale hata kwenye mdumange
Kuna huu wimbo unaitwa KITABU aliimba DARASA na kumshirikisha Diamond Platnumz.
Mimi mara ya kwanza kuusikiliza ilikuwa mwaka 2011 au 2012 kama sikosei. Sasa juzi nipitia vitu vyangu vya zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.