Nina Amini music unanguvu kubwa zaidi ya risasi.
Asiweke Lugha matusi, Kuna MTU anahitaji BREAK za kutosha ikibidi vingingi.
Katika maisha Tunahitaji faraja na matumaini toka kwa BABA, Sio kauli...
Henry Pope
Henry Pope ni jina la kutaja uhusika wa katika kipindi cha televisheni cha Kimarekani, maarufu kama Prison Break. Uhusika huu ulichezwa na Stacy Keach. Katika mfululizo huu, alicheza...
SAMSUNG S6 EDGE PLUS ......
Ram 4GB
Internal Memory 32GB
Displacy Inch 5.7
Used for 4weeks
Its Gold
4G support
Haina tatizo lolote
Ni mpya kabisaaaaaa
600,000tsh TUNAONGEA
Habari,, Dancers wanawake wanatafutwa mkoa wa mbeya
Vigezo;
1) Awe umri wa miaka 23_26
2) asiwe mnene
3) awe anaweza kutwerk na kudance
Kama unahitaji nifate PM
N.b hela ni nzuri [emoji184]
MTUNZI: George Iron
SEHEMU YA KWANZA
Safari nzima hakutaka kuzungumza na mtu yeyote hivyo alikuwa amepachika �earphone� masikioni mwake ili hata asiweze kusikiliza watu walikuwa...
Unaweza kusema hii ni moja ya faida ya utandawazi ambapo lugha, tamaduni hadi nyimbo za nchi moja huweza kuwafikia wengi katika mataifa mengine yenye tamaduni tofauti. Hali hii husababisha hata...
. Hivi ndio jinsi ilivyoanguka ndege iliyokuwa imembeba mmiliki wa club mabingwa 2016/2017 (Leicester city) ndani ya helicopter hiyo pia kulikuwa na jumla ya watu 5
[emoji120][emoji120][emoji120]
Kutokana na bwana MICHUZI tunaambiwa kuwa hawa ndio ma supastar wa BONGO
mimi kwa kweli i am still shocked na najua hii itakuwa controvesho lakini who cares
kwa sababu za UJINGA WAKE bwana...
Mtunzi Nyemo Chilongani SEHEMU YA 01
Sijui nianze kusema nini ili nieleweke, sijui kama ninatakiwa kucheka au kulia kwani kwa kile kilichotokea, ningependa Mungu anisemehe tu.
Kwa jina ninaitwa...
Habari wanajamvi. Nisiwe msemaji Sana niende moja kwa moja kwenye Mada. Naomba tushirikishane kutaja kolabo za wasanii wa muziki unaodhani mbele wakishirikiana kutoa kazi itashika Sana soko la...
Anayefahamu wimbo wenye maneno (nyie wote wake zangu mapenzi yangu kwenu ni sawa tupendane ndio heshima ya ndoa) naomba anijulishe band iliyoimba na jina la wimbo wenyewe maana naupenda na...
Kwa mlioiona. Nipo namaliziamalizia season 2. iko poa sana hii series. Huyu Teresita ananikosha sana. nili somaga kitabu El Narco basi nikatokea kupenda stori za hawa madrug dealers, nikacheki...
Wakuu nazani pesa zetu za vifurushi zinaenda tu especially cc wa azam maana tunalipia vifurushi lkn channel nyingi zimezuiliwa hadi sasa kwani tatzo ni nn na lini mwisho wake
Nianze kwa kusema wewe ni DJ unae heshimika sana.hapa jijiji DSM na.Tz kwa ujumla but kwa hili.nalizimika.kukumbusha ili usiendelee kujisahau.
Ni hivi kila.Siku ya Jumamos Dj Masoud Masoud huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.