Watanzania ukifungua bar mpya watakuja wote week ya kwanza baada ya hapo wanapotea wote wanarudi kunywa bia kwenye viduka vya mangi.Vipi EFM nayo siku hizi hatuisifii tena?
hamna jipya hapo nduguWasafi fm ni radio station inayokuja kwa kasi sana apa nchini kwa burudani..
Wanapga nyimbo konki sana alafu wanajua kupangilia na wanaenda na ratiba leo j,pili zinapigwa gospal za hatari apa.
Awa jamaa ni konki konki konki master..