Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Tenzi za rohoni ndio kiungo kikubwa cha imani ya kikristo karibu madhehebu yote Mwanamuziki wa Injili Rose Mhando anasauti inayofiti sana ikiwa umebahatika kumsikia akiimba wimbo mmojawapo was...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Ikiwa leo ni Kumbukumbu ya ' Mtaalam ' wa Sanaa za ' Mapigano ' duniani ( Martial Arts ) Hayati Bruce Lee naomba wale wenzangu na Mie ambao tulikuwa tukipenda mno Kuziangalia, Kuiga na kwenda...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Shumileta na Nsyuka ni muvi za karne zenye visa visivyochosha kutazama ,hakika ni muvi za karne bongo hawataweza kutengeneza muvi kama hizi teeeeeena. Sultan Tamba na Musa Banzi rudini bhana...
2 Reactions
90 Replies
41K Views
Kama safari ya mapenzi, nataka kuianzisha mimi na wewe Nimepita nimeona wengi, jua moyo umekuchangua wewe ×2 Nikiwa karibu na ua ridi, basi na mimi nitanukia Kukuoa inanibidi, kwa kila hali...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Habati ndugu wanajamvi.Nilikua mpenzi wa hili game enz hizo Likiwa 2015,2016 lakini kwa sasa hv nimeshindwa jinsi nnavoweza kulipata free.Play store linauzwa 19,999 hvyo mtu anaeweza kunielekeza...
0 Reactions
1 Replies
906 Views
Wachina wamshangaza Magufuli, wacheza ngoma ya kisukuma Hii imetokea wakati wa Ufunguzi wa Chuo kikuu cha DSM wakati akifungua Maktaba kubwa na ya kisasa.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wanaume wa mikoani internet mnaijua nyie kaeni na radio mkulima
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwenye maisha siku zote kuna kupanda na kushuka na ndivyo wanavyoombea wengi yatokee hayo kwa CLOUDS FM lakini tatizo Lina kuwa kwa wapinzani wake wako mbali sana kuwafikia CLOUDS . E-FM wapo...
15 Reactions
74 Replies
10K Views
Habari wakuu Hapa kanisani kwetu tumeanzisha kwaya ya vijana.Hivyo bado hatujapata jina linalofaa na linalovutia. Je,kuna jina lolote ambalo unahisi tunaweza kulitumia kama jina la kwaya yetu...
1 Reactions
28 Replies
7K Views
Habari zenu Waungwana, Nimeona Bora niseme chochote kumpongeza Linex. Amini usiamini tunapozungumzia International standard kwenye music LINEX ni next level. Huyu jamaa angekuwa na kihelehele...
2 Reactions
21 Replies
7K Views
1.nuruel tumeagizwa upendo 2.rudi ya rogers lukas 3.wachuja nafaka nyimbo inaiywa wachujanafaka plz jamani zitupieni hapa na kama na kunamtu nae anatafuta nyimbo andike na mm ntamsaidia kuweka...
2 Reactions
42 Replies
62K Views
Hii ni tathmini Binafsi. Tukianzia tangu sakata la ushoga lilipo anza kisha kukolezwa na kuibuka kwa Dudu baya na KONKI yake.Hisia nyepesi ilikua ni muendelezo wa vita Kati ya Makonda na Clouds...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
One Incredible na Stereo(Chunda Bad) Jana walionyesha uwezo mdogo sana Wa kufanya show live,KATIKA tamasha lililofanyika Jana pale Nangwanda. One alikuwa anafanya playback lakini pumzi inamkata...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari waungwana, nawasalimu nyote Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mm nimelitazama hili kama swali la kufunga mwaka kwa upande wa burudani na nikaamua kuli_solve kama kipindi kile cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hali zenu ndugu zetu.? Ni lini show za kibongo wataacha kuvamia mastage hawa watu wanofata? 1. Mabaunsa 2.Camera men 3.Wapambe Nikicheck show za mbele stage inakua free na msanii anakua huru kuperform
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Wakati Tigo Fiesta wakifuta tamasha la mwaka huu huko Dar baada ya kuzuiwa kutumia uwanja wa Leaders Club huko Mtwara tamasha la Wasafi limehudhuriwa na viongozi wa serikali akiwemo naibu Waziri...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Msaada wadau....... kuna nyimbo ya kisukuma huchezwa sana kwenye maharusi huku watu wakitikisa mabega huku wakishuka chini........ Moja maneno ninayo ya kumbuka ni pamoja na "..........funyagi...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Kama mnavyofahamu, Leo ndio ile siku ambayo ikisubiriwa kwa hamu na Wanamtwara kama sio Tanzania kwa ujumla.. So wale wanyama wote wenye majina makubwamakubwa hapa bongo tayari washadrop Mtwara...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…