pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,083
- 12,406
Kwenye maisha siku zote kuna kupanda na kushuka na ndivyo wanavyoombea wengi yatokee hayo kwa CLOUDS FM lakini tatizo Lina kuwa kwa wapinzani wake wako mbali sana kuwafikia CLOUDS .
E-FM wapo slow sana hata baadhi ya vipindi vyao wanakosea muda sahihi wa kuvipangilia haiwezekani asubuh tu kipindi cha michezo masaa matatu hata siku haija changanya vizuri.
CLOUDS FM hawa jamaa sio kwamba mi mwenyewe nawakubali sana ila hamna mpinzani wake anayejaribu kumsogelea ukianzia upangaji wa vipindi vyao na mtiririko wa matukio na hata frequency zao zina nguvu sana zina sikika mpaka uvunguni sio hizo nyinginge ukitoka nje ya dar tu zinaanza kusumbua mpaka uiwekee Kitu juu ndo unasikia vizuri.
Na hata hao wanaoichukia CLOUDS wanajua wao ndo chanzo cha kufel mishe zao iwe business au muziki ni Jana raisi wa "TFF" ametoka kutoa ufafanuzi juu ya sakata la yanga kwenye sports extra hii inaonyesha CLOUDS inaaminika taarifa zake na ina fuatiliwa na watu wengi na hata mkuu mwenyewe anaifutilia kwa makini alishawahi kupiga simu 360.
Sawa ina Matatizo yake mengi sana ila mbadala hajapatikana wa CLOUDS kwa Tanzania bila CLOUDS aisee sijui ingekuwaje game yetu ya bongo flava .
Mnao ichukia CLOUDS unganeni mtafute mbadala wake imara la sivyo mtapata tabu sana.
E-FM wapo slow sana hata baadhi ya vipindi vyao wanakosea muda sahihi wa kuvipangilia haiwezekani asubuh tu kipindi cha michezo masaa matatu hata siku haija changanya vizuri.
CLOUDS FM hawa jamaa sio kwamba mi mwenyewe nawakubali sana ila hamna mpinzani wake anayejaribu kumsogelea ukianzia upangaji wa vipindi vyao na mtiririko wa matukio na hata frequency zao zina nguvu sana zina sikika mpaka uvunguni sio hizo nyinginge ukitoka nje ya dar tu zinaanza kusumbua mpaka uiwekee Kitu juu ndo unasikia vizuri.
Na hata hao wanaoichukia CLOUDS wanajua wao ndo chanzo cha kufel mishe zao iwe business au muziki ni Jana raisi wa "TFF" ametoka kutoa ufafanuzi juu ya sakata la yanga kwenye sports extra hii inaonyesha CLOUDS inaaminika taarifa zake na ina fuatiliwa na watu wengi na hata mkuu mwenyewe anaifutilia kwa makini alishawahi kupiga simu 360.
Sawa ina Matatizo yake mengi sana ila mbadala hajapatikana wa CLOUDS kwa Tanzania bila CLOUDS aisee sijui ingekuwaje game yetu ya bongo flava .
Mnao ichukia CLOUDS unganeni mtafute mbadala wake imara la sivyo mtapata tabu sana.